Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

587 results for Elias Msuya :

  1. Marais wa Afrika wataja matumaini uzalishaji umeme

    Baadhi ya marais wa nchi za Afrika wanaohudhuria mkutano mkuu wa nishati Afrika, wameeleza matumaini yao kuhusu mkakati ulioandaliwa kwa ajili ya uzalishaji wa umeme barani humo.

  2. Rais Samia ataja mikakati kuongeza umeme nchini

    Rais Samia Suluhu Hassan ametaja mikakati minne itakayowezesha kuongeza upatikanaji wa nishati ya umeme barani Afrika ifikapo mwaka 2030.

  3. Ahadi za matrilioni ya ufadhili wa nishati Afrika

    Ripoti ya uchunguzi wa awali wa tukio la ajali ya ndege ya Shirika la Jeju, iliyosababisha vifo vya watu 179 huku wawili wakinusurika, imebaini uwepo wa vinasaba (DNA) na manyoya ya ndege pori...

  4. Mashirika yatoa ahadi kufadhili nishati Afrika

    Wakati Bara la Afrika likielekea katika utekelezaji wa Agenda 300 Africa inayolenga kuwafikia Waafrika milioni 300 kwa umeme, baadhi ya mashirika ya fedha na nishati yameahidi kutoa fedha...

  5. WB, AfDB wataka ushirikiano kuongeza nishati Afrika

    Rais wa Benki ya Dunia, Ajay Banga, amesema mkutano huo unatarajiwa kutoka na sera zitakazohakikisha watu milioni 600 wanafikiwa na umeme.

  6. PRIME Mahinyila asema ‘No reforms no election’ ni amri ya wananchi

    Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha), Deogratius Mahinyila amesema kauli mbiu ya ‘No reforms, no election’ (Hakuna mabadiliko, hakuna uchaguzi) ni amri ya wananchi walioiweka...

  7. ‘Wadau washirikishwe changamoto kukatika umeme’

    Ushirikishwaji wa wadau wa nishati safi kuzalisha umeme umetajwa kuwa suluhisho la kukatika umeme mara kwa mara, linalokwaza uzalishaji viwandani na kwa wajasiriamali.

  8. PRIME Hotuba ya mwisho ya Mbowe ukumbini, atoa maagizo kwa Lissu

    Mbowe pia, amewaasa viongozi wapya kuilinda katiba ya chama badala kuendesha chama kwa mapenzi yao.

  9. PRIME Dk Nchimbi alivyoruka viunzi vya siasa

    Baada ya Dk Nchimbi kuingia kwenye siasa hapo ndipo mikiki mikiki ikaanza. Alianza safari ya kisiasa akiwa mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) mwaka 1997 na baadaye Mwenyekiti wa Umoja wa...

  10. PRIME Fukuto wagombea kamati kuu Chadema wakikatwa

    Uchaguzi mkuu wa Chadema unaokwenda kukamilika kesho Januari 21 jijini Dar es Salaam kwa kuwachagua wagombea uenyekiti na makamu mwenyekiti umeibua mvutano mkali kati ya Mwenyekiti Freeman Mbowe...

Previous

Page 2 of 59

Next