PRIME Lissu afunguka wanaohoji kauli yake kuhusu rushwa Chadema Jana Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika alisema atatoa kauli juu ya kilichosemwa na Lissu baada ya vikao vya chama hicho.
PRIME Takukuru kujitosa madai ya rushwa uchaguzi ndani ya Chadema Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Salum Hamduni amesema taasisi yake inafuatilia taarifa hizo na si lazima zipelekwe kiofisi.
Mjue koala, mnyama anayelala saa 22 kwa siku Licha ya kuishi msituni, koala ni wanyama rafiki kwa binadamu. Wanakadiriwa kuwepo duniani kwa miaka zaidi ya milioni 25.
PRIME Lissu: Fedha zimemwagwa kuvuruga uchaguzi Chadema Amesema fedha hizo huwa hazipatikani wakati chama hicho kikipambana kufanya mikutano ya hadhara, wala operesheni nyinginezo.
Chadema yahitimisha maandamano, hoja nne zikitawala Licha ya kujibiwa, suala la Muungano pia lilijadiliwa na Mbowe alipohutubia mkutano wa hadhara mjini Musoma, akisisitiza msimamo wa chama hicho wa kuwa na Muungano wa Serikali tatu.
Mwabukusi, Madeleka waitwa tena Kamati ya Mawakili Mawakili Boniface Mabukusi na Peter Madeleka wameitwa na Kamati ya Maadili ya Mawakili kufuatilia mwenendo wa kesi zao walizoshitakiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali
PRIME Kigogo wa zamani Tucta afichua makubaliano ya kikokotoo Pia, ametaja kusimama kwa ajira katika Serikali ya awamu ya tano, akisema kulisababisha kushuka kwa ukwasi wa mifuko ya hifadhi ya jamii.
PRIME Jiji la Dodoma hatarini kuwa eneo la makazi holela Sababu kuu inayotajwa ni uvamizi wa ardhi na ujenzi usiofuata mipango miji
PRIME Sababu za mafuriko kuivuruga dunia Mikoa ya Tanzania iliyoathiriwa na mafuriko ni Pwani, Morogoro, Dar es Salaam, Kilimanjaro, Mbeya, Kigoma, Iringa, Tabora, Dodoma, Lindi, Mtwara, Arusha, Kagera, Shinyanga, Geita, Songwe, Rukwa...
PRIME Rais kuteua ma-DED ngoma nzito Mbali na vyama vya siasa, wadau mbalimbali wamekuwa wakikosoa uteuzi wa viongozi hao kwa kuzingatia zaidi vigezo vya kisiasa kuliko uwezo kitaaluma na uzoefu.