Search

588 results for Hawa Mathias :

  1. Sh1.5 bilioni zatumika kujenga shule mbili mpya Mbeya

    Halmashauri ya Jiji la Mbeya imetumia zaidi ya Sh500 milioni kukamilisha ujenzi miundombinu wa shule mbili mpya za msingi katika Kata ya Ilomba na Lyoto kupitia Mradi wa Boost.

  2. Vituo 490 kutumika uchaguzi Mbarali

    Vituo 490 vinatarajia kutumika kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa nafasi ya ubunge Jimbo la Mbarali, Mkoa wa Mbeya, ambalo lilikuwa wazi baada ya aliyekuwa Mbunge Francis Mtega kufariki dunia...

  3. Wananchi waomba ulinzi kutokana na uhalifu, wanawake wanaojiuza

    Jeshi la Polisi Mkoa linawashikilia watu watatu walijiohusisha katika matukio mawili tofauti yaliyotokea Wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya huku wananchi wakiomba polisi kuimarisha doria kufuatia...

  4. PRIME Kifo cha mwalimu mkuu chazua maswali

    Magwira Nkuta, Mkuu wa Shule ya Sekondari Mtanila iliyopo Kijiji cha Igagwe wilayani Chunya, amefariki dunia baada ya kunywa kimiminika kinachodhaniwa kuwa sumu.

  5. Mwalimu Mkuu adaiwa kujiua kwa sumu

    Mwalimu huyo anadaiwa kujiua kwa kinachodaiwa kuwa ni msongo wa mawazo, baada ya kupokea fedha za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kwa ajili ya kuchonga kibao cha klabu ya...

  6. ‘Denti’ matatani akidaiwa kuchoma madarasa

    Jeshi la Polisi la Polisi linawashikilia watu wawili, akiwemo Yesse Charles anadaiwa kuchoma vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Iyela mkoani Mbeya.

  7. Kufuatia kifo cha Mtanzania Zambia, familia ‘yaiangukia’ Serikali

    Siku moja baada ya kusambaa kwenye mitandao ya kijamii picha za mfanyabishara wa Zambia, ambaye ni raia wa Tanzania, Daudi Mwakyoma (40) akiteketea kwa moto, familia yake imeibuka na kumuomba...

  8. Watoto 624,346 kupata chanjo ya polio Mkoa wa Mbeya

    Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera amesema kuwa watoto 614,346 walio na umri kati ya kuanzia 0 mpaka miaka 8 watapatiwa matone ya chanjo ya polio huku akisisitisha maeneo ya mipakani kuwekewa...

  9. Serikali yaweka nguvu bonde la ziwa Rukwa

    Naibu Waziri wa Maji Mhandisi, Maryprisca Mahundi amesema wizara yake imeelekeza jicho kwenye Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Rukwa kuwa kitovu cha usimamizi mzuri wa rasilimali za maji kati ya...

  10. Wananchi wasimamisha msafara wa Spika kudai maji

    Wananchi na wafanyabishara wa Bonde la Uyole jijini Mbeya wamelazimika kusitisha shughuli zao na kusimamisha msafara wa Spika wa Bunge na Mbunge wa Mbeya Mjini, Dk Tulia Ackson kumuomba...

Previous

Page 2 of 59

Next