Kufuatia kifo cha Mtanzania Zambia, familia ‘yaiangukia’ Serikali
Siku moja baada ya kusambaa kwenye mitandao ya kijamii picha za mfanyabishara wa Zambia, ambaye ni raia wa Tanzania, Daudi Mwakyoma (40) akiteketea kwa moto, familia yake imeibuka na kumuomba...