Kaya 208 zaathiriwa na mafuriko Kyela, misaada yahitajika
“Baada ya kusikia kishindo nilitoka nje, nikagundua tayari mafuriko yameingia. Tulianza kuokoa baadhi ya mali na mifugo na kutupia juu ya paa lakini vyakula vilikuwa vimeshaharibika,” amesema.