Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

928 results for Hawa Mathias :

  1. Sh16 bilioni zitakavyoongeza upatikanaji wa maji vijiji 25 Kyela

    Katika kuhakikisha Wilaya ya Kyela, mkoani Mbeya inaondokana na adha ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama, Serikali imetoa zaidi ya Sh16.5 bilioni kutekeleza miradi ya kimkakati...

  2. Raha, karaha ujenzi njia nne barabara ya Mbeya

    Wakati Serikali ikiendelea kutekeleza ujenzi wa barabara ya njia nne maeneo ya jiji la Mbeya, wananchi wameomba viwekwe vivuko vya muda ili kunusuru maisha yao.

  3. PRIME Waliokuwa wabunge wapiga jaramba kurudi bungeni

    Kwenye kundi hilo wapo walikuwa mawaziri na naibu mawaziri wameonyesha nia ya kuingia katika uchaguzi mkuu ujao kuchuana na wenzao walioingia mwaka 2020 ambao wamebakisha siku 23 kumaliza...

  4. TaCRI yaja na mkakati kudhibiti konokono wasumbufu wa kahawa

    Licha ya kuwepo kwa mikakati kabambe ya kuzalisha miche milioni 5 ya zao la kahawa yenye uwezo wa kukabiliana na magonjwa, wadudu aina ya konokono ambao wametajwa kuathiri kwa kiwango kikubwa...

  5. Joyce: Mjane aliyepambana na umaskini, kutoa ajira kupitia kilimo

    Anasema mwaka 2000 hadi 2004, kabla ya kuwekeza kwenye sekta ya kilimo yeye na mmewe walikuwa wafanya biashara ya vifaa vya maofisini ambavyo walikuwa wakichukua mataifa mbalimbali na kuleta nchini.

  6. RC Homera ahimiza wanaume kujitokeza uchunguzi njia za mkojo

    Mbeya. Serikali mkoani Mbeya imepokea kambi ya madaktari bingwa bobezi 49 kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa kwa wananchi katika halmashauri saba. Ujio wa madaktari hao...

  7. Wananchi wasimulia kilimo mseto kilivyowanusuru na utegemezi

    Wanawake wa Kijiji cha Nyimbili Kata ya Nyimbili, Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe wamesema uwepo wa ujira kupitia mashamba ya kilimo mseto na viwanda vya kuongeza thamani zao la kahawa vimekuwa...

  8. RC Mbeya aagiza maofisa lishe kutoa elimu wasiobadilisha mlo

    Takwimu hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk Juma Homera wakati akizindua mradi wa lishe ya mwanao, unaotekelezwa na Shirika la CRS kwa ufadhiri wa Serikali ya Norway kwa kushirikiana na...

  9. Sh2 bilioni kujenga barabara Mbeya Vijijini, Mbunge Njeza atoa neno

    Pamoja na hayo, Mbunge Njeza ameishukuru Serikali kwa uidhinishaji fedha zaidi ya Sh2 bilioni na kwa ajili ya barabara mbili.

  10. Homera aagiza Chunya kukamilisha ujenzi wa sekondari

    Chunya. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk Juma Homera ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kutoa Sh20 milioni zikamilishe Ujenzi wa shule ya mpya ya Sekondari Masache iliyopo Kitongoji cha Itumbi...

Previous

Page 2 of 93

Next