Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

822 results for Nasra Abdallah :

  1. Mkuranga yapata hati safi miaka tisa mfululizo, RC Kunenge atoa angalizo

    Wakati Halmashauri ya Mkuranga ikiwa imepata hati safi kwa miaka tisa mfululizo, Mkuu wa Mkoa wa Pwani (RC), Abubakari Kunenge ametaka hati hizo ziendane na miradi inayowagusa wananchi moja kwa...

  2. Ulinzi waimarishwa, maombi yafanyika mahakamani kesi ya Lissu

    Kesi hizo ambazo zinasikilizwa na mahakimu wawili tofauti zote zimepangwa kuendelea leo Jumatatu, Juni 16, 2025 lakini katika hatua tofautitofauti.

  3. Bajeti katika mtazamo wa kijinsia

    Wanaharakati wa kutetea masuala ya kijinsia wamesema bajeti iliyowasilishwa bado haijazingatia mtazamo wa kijinsia huku wakisema ukuaji wa uchumi unaosemwa haundani na hali ilivyo mtaani.

  4. Bodaboda wanavyoitazama Bajeti ya Serikali, watoa angalizo

    Shirikisho la waendesha bodaboda na bajaji wamepongeza hatua ya kupunguzwa gharama za leseni za pikipiki za biashara huku wakitaka mabadiliko katika upatikanaji wake.

  5. Kigogo wa NCCR Mageuzi atimkia ACT -Wazalendo

    Amesema wakati umefika wa kuachana na siasa za kuwalaghai Watanzania.

  6. Kamati ya Jafo yafunua kichaka cha Wachina Kariakoo

    Kamati ya kuangalia wageni wanaofanya biashara nchini, iliundwa Februari 5, 2025 na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo.

  7. Wazee 700 wapatiwa bima ya afya Mkuranga, wenyewe waweka angalizo

    Ulega amesema kwa muda mrefu wazee hao wamekuwa wakilalamikia kupata tabu katika matibabu, hivyo ameona atoe bima hizo ambazo zitawafaa wao pamoja na wanafamilia wao watatu.

  8. Polisi yasubiri maelezo ya Padri kitima iendelee na uchunguzi

    Kamanda Muliro amesema wakati tukio la kushambuliwa Padri Kitima lilipotokea ilikuwa vigumu mtu akiwa anaumwa ukaanza kutumia njia ya kutaka kupata maelezo kutoka kwake.

  9. Waathirika mradi Bonde la Msimbazi watishia kwenda mahakamani

    Wakati wananchi waliopisha mradi wa Bonde la Msimbazi wakitishia kwenda mahakamani wakidai kutolipwa fidia ya ardhi kama inavyotakiwa kwa mujibu wa sheria, Serikali imesema wanaostahili malipo ni...

  10. Wamachinga barabara ya Soko la Kariakoo wapewa wiki mbili kuondoka

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ametoa wiki mbili kwa wafanyabiashara ndogondogo walio katika barabara za kuingia soko kuu la Kariakoo kuondoka.

Previous

Page 2 of 83

Next