PRIME Fyatu mfyatuzi sasa kugombea urahis mwaka huu wa uchaguzi Nenda kaulize kule Saudia. Imetokana na jina la fyatu Saudi na sasa inajinoma kwa jina lake.
PRIME Nani kasema kitanda hakizai haramu? Hamjasikia visa vya baadhi ya wanaume kuua watoto wasio wao au wanandoa wanaoua wenzao wagunduapo wamebambikiwa watoto? Je hapa kitanda hakijazaa haramu na jinai?
PRIME Fyatu anaweza kuzuia kutupiwa-tupiwa viatu Baada ya mafyatu wa kaya jirani kumfyatua fyatu wao mnene, nimeogopa. Si juzi walimfyatua kwa kiatu kiasi cha kumtia aibu na gadhabu! Sijui hakupata shinikizo la moyo kwa namna alivyoaibishwa...
PRIME Fyatu kushinda urahis wa mafyatu kimiujiza Hapa, lazima kusiwe na huruma, haki za mafyatu wala nini, bali kufanya kweli kwa kuteka, kutembeza kipigo, na ikibidi kuweka ndani bila kutoa maelezo wala kufuata sheria za mafyatu.
PRIME Fyatu afyatua figa na fwakit kuhusu Kanada Kwa nini kuoa, kuoza na kuozwa kwa mifuko ya mafyatu? Je, wao walipooa au kuolewa uliwachangia lau moja ya kumi ya hizo unazoitisha?
PRIME Mike Msudani aliyemkimbia bi mkubwa wa Kizungu Kwa vile Mike alikuwa mgeni na mhitaji, alijiona kapata asijue amepatikana.
PRIME FYATU MFYATUZI: Uchakachuaji, sorry, uchaguzi, acha mafyatu waamue Kila fyatu anajua. Kuna mnyukano na mtanange usio ulazima baina ya mafyatu wanaotaka kutufyatua ili tuwape unene watufyatue na wengine wanaotuaminisha kuwa hawatatufyatua kama hawa wanaowafyatua...
PRIME FYATU MFYATUZI: Nimeamua kujipanga kuuza au kubinafsisha ubongo wangu! Ubongo umenibomoa badala ya kujijenga. Nilifyatua wengine ili wafyatuke na kuwafyatua wanaowafyatua nikaishia kujibomoa.
PRIME Niite Fyatu Mfyatuzi Nchonga Kambarange Nyerere Haraka haraka niliwasiliana na Madaraka, mwana mwenyewe wa Nchonga aliyewahi kunikaribisha Mwisenge nikahiji kwenye kaburi la baba wa kaya na kuniahidi kirungu.
PRIME FYATU MFYATUZI: Wamefyatuka, wanafyatuana mbele ya mafyatu wengine! Juzi tulishangaa sana. Mwe! Nani angeamini kuwa mafyatu wanene na wanono wangefyatukiana na kufyatuana hadharani? Unene kweli taabu, japo una raha ya kula bila kutoa jasho! Si fyatu mmoja...