Search

116 results for Noor Shija :

  1. Wanafunzi waliorudishwa Ukraine waingizwe vyuoni

    Serikali imeombwa kuwasaidia wanafunzi wa Kitanzania waliorudishwa nchini kutokana na vita ya Ukraine na Urusi.

  2. Jina la Rais Samia latamkwa mara 46 bajeti ya 2023/24

    ‘Mama yuko kazini, pochi la mama’. Ndiyo maneno aliyoyatumia mara kwa mara Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba wakati akisoma Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2023/2024 ya...

  3. Mfumo ya kodi kilio kwa sekta binafsi

    Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imeendelea kulia na mfumo wa kodi na tozo uliopitwa na wakati kwamba ndio chanzo cha migogoro kati ya Serikali na wafanyabiashara nchini.

  4. 8,000 wajitosa ajira 42 za Bunge

    Tume ya Utumishi ya Bunge imetangaza ajira za kada mbalimbali ambapo walioitwa kwenye usaili wako zaidi ya 8,000 kati ya nafasi za kazi 42 zilizotangazwa, huku kada zinazoongoza kwa idadi kubwa...

  5. Sintofahamu uwanja wa ndege Dodoma kutokuwa na taa

    Sintofahamu imeibuka kuhusu uwanja wa ndege wa Dodoma kutokuwa na taa za kuwezesha ndege kuruka na kutua usiku.

  6. Serikali yasitisha kulifunga Ziwa Tanganyika

    Serikali imewaondoa hofu wananchi wa mikoa ya Kigoma, Rukwa na Katavi kwa kusitisha kwa muda utekelezaji wa kuzuia shughuli za uvuvi kwa miezi mitatu ndani ya Ziwa Tanganyika.

  7. Ruto na Odinga walegeza misimamo

    “Je, meza imepinduliwa.” Hivyo ndivyo unaweza kujiuliza baada ya Rais, William Ruto kusema yuko tayari kushirikisha pande mbili bungeni kwa ajili ya kuundwa upya kwa Tume huru ya Uchaguzi na...

  8. Kongole Profesa Mkenda, Necta

    Baada ya Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) kuanza utaratibu mpya wa kutotangaza shule 10 bora na wanafunzi 10 bora kwa matokeo ya mitihani ya kitaifa, zimeibuka hoja nyingi kupinga utaratibu...

  9. Vilio vyatawala Lissu akionyesha makovu ya risasi

    Makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ameiliza familia yake baada ya kuwaonyesha makovu ya risasi alizoshambuliwa.

  10. Muswada wa huduma za habari hautawasilishwa Bunge hili

    Akizunguma leo Jumanne Februari 7, 2023 Msemaji Kuu wa Serikali, Garson Msigwa amesema muswada huo wa huduma za habari hakupata nafasi katika Bunge hili.

Previous

Page 2 of 12

Next