Rais Biden achoshwa na mauaji Gaza, amuonya Netanyahu kupewa upendeleo. Hata hivyo, Netanyahu alikanusha madai hayo na kusema kwamba yanachochewa kisiasa na wapinzani wake. Alifunguliwa mashtaka hayo Mei 2020, na kuwa waziri mkuu wa kwanza wa Israel...
Rais Biden ‘ampindulia meza’ Trump Uchaguzi baina ya Biden na Trump unaweza kuleta mabadiliko katika mwelekeo wa siasa za Marekani.
Waziri Mkuu Peru ajiuzulu kwa madai ya rushwa Wiki iliyopita baadhi ya vyombo vya habari nchini Peru vilitoa sauti iliyorekodia, ikidaiwa ya Otarola akisikika akizungumza na mwanamke, ambaye baadaye alianza kufanya kazi katika majukumu...
Marekani yamuwekea vikwazo Rais Mnangagwa Mnangagwa alitangazwa mshindi wa urais katika uchaguzi wa Agosti mwaka jana huku waangalizi wa kimataifa wakisema uchaguzi huo ulipungukiwa na viwango vya kidemokrasia
PRIME Richmond ilivyomwandama Lowassa Ndilo sakata lililomsukuma Lowassa kuachia nafasi ya uwaziri mkuu mwaka 2008, huku akisisitiza kuwa hakutendewa haki ya asili na tume teule ya Rais iliyoundwa kuchunguza kashfa hiyo ya aina yake...
Lowassa ‘Mzee wa maamuzi magumu’ ‘Ni Mzee wa maamuzi magumu.’ Ndivyo alivyofahamika kwa jina la utani, Edward Lowassa aliyekuwa Waziri Mkuu wa tisa kushika madaraka hayo.
Samia atangaza kuwa mdhamini ligi ya kwaya za Utumishi, Bunge na Mahakama Miongoni mwa maneno yaliyosikika kwenye wimbo ulioimbwa na kwaya ya Mahakama kwenye sherehe hizo ni kwamba haki iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu sasa inatolewa kwa wakati na watu wanatoka...
Jaji Mkuu aomba bei ya mitandao ishuke Amesema uwekezaji wa mkongo wa Taifa umewezesha mahakama zikiwamo Mahakama za Mwanzo zaidi ya 900, Mahakama Kuu, Mahakama za Wilaya, Mahakama za Hakimu Mkazi kusomana na kubadilishana taarifa
Walimu wenye ulemavu wamuomba Spika mambo manne Pia, wamemuomba asaidie kuileleza Serikali iharakishe kufanya marekebisho machache ya sheria namba 9 ya mwaka 2010, ili iwanufaishe watu wenye ulemavu wakiwemo walimu wenye ulemavu.
Jaji Feleshi ashtuka utitiri wa malalamiko ziara za Makonda “Kwa minajili hii mheshimiwa Rais wewe ndiye mlezi wa ofisi yetu na taasisi za kiserikali, tumekusudia vile vile tuwe na vituo vya huduma wezeshi saa 24. Yeyote aliyekosa huduma mahala afike...