PRIME Rungu la wajumbe CCM latesa vigogo Mabadiliko ya katiba ya Chama cha Mapinduzi yameanza kuwavuruga wagombea wa udiwani, ubunge na uwakilishi, ikiwa imebaki takribani miezi mitano kufanyika kwa kura za maoni.
PRIME Jinsi Raila alivyoukosa uenyekiti Umoja wa Afrika Mchuano huo uliokwenda hadi mzunguko wa saba Youssouf ameshinda kwa kupata kura 33, baada ya Raila kuondoa jina lake.
Rais Tshisekedi akatisha ziara Ujerumani ‘kuiwahi nchi’ Kwa mujibu wa taarifa hiyo Rais Tshisekedi pia alitaka kupewa ushirikiano na jumuiya ili kumaliza mapigano na kukomesha shughuli za kijeshi kwenye eneo la Maziwa Makuu.
PRIME Kifo cha Nujoma chafunga ukurasa wa kizazi cha viongozi wapigania uhuru Kizazi cha viongozi wapigania uhuru wa Afrika kimefungwa rasmi kufuatia kifo mwasisi wa Namibia huru, Sam Nujoma.
PRIME Banduka atakumbukwa kwa kuanzisha CCM, sakata lake na Mwaibabile Mmoja wa wajumbe wa Tume ya watu 20 walioandaa kuanzisha Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati wa kuunganisha vyama vya Tanganyika African National Union (Tanu) na Afro-Shirazi Party (ASP), Nicodemus...
Trump ashambulia maficho ya ISIS Somalia Rais Donald Trump wa Marekani amesema aliagiza mashambulizi ya anga ya kijeshi dhidi ya mpangaji mkuu wa mashambulizi na wanachama wengine wa kundi la kigaidi la ISIS nchini Somalia.
PRIME Mambo magumu DRC, viongozi wahaha kutuliza mapigano Waandamanaji hao walikuwa wanadai hatua zichukuliwe dhidi ya mashambulizi ya waasi wa M23 katika mashariki mwa DRC.
Fahamu jinsi Kapteni Ibrahim Traoré alivyoingia madarakani Kapteni Traoré alimpindua Luteni Kanali Paul-Henri Damiba Septemba 30, 2022.
PRIME Mbwembwe za Rais wa Bukina Faso kuwa kivutio Tanzania Rais wa mpito wa Bukina Faso, Kapteni Ibrahim Traore ambaye amekuwa kivutio kwa utaratibu wake wa kuvaa kombati za jeshi pamoja na kutembea na bastola kiunoni tofauti na marais wengine, ni...
Trump afikiria kubadili msimamo kujitoa WHO Zikiwa zimepita siku sita tangu Rais Donald Trump atie saini amri ya kiutendaji inayoelekeza Marekani kujitoa kwenye Shirika la Afya Duniani (WHO), ametangaza kufikiria kubadili uamuzi wake huo.