Search

171 results for Peter Akaro :

  1. Albamu ya kwanza ya Tems kuachiwa mwaka huu

    Baada ya kushiriki kuandika nyimbo za mastaa wakubwa duniani kama Beyonce na Rihanna, hatimaye Temilade Openiyin ‘Tems’ kutokea nchini Nigeria ametangaza kuwa mwaka huu ataachia albamu yake ya...

  2. Kilio cha wasanii kwa serikali

    Baadhi ya wasanii wa muziki na filamu nchini wameeleza yale wanayotaka yafanyike katika tasnia yao chini ya utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anaelekea kutimiza miaka mitatu madarakani.

  3. Huyo ndio Rais Samia wa wasanii Tanzania

    Ikiwa inaelekea kutimia miaka mitatu tangu Rais Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani, wasanii wa muziki na filamu nchini wamebainisha na kushukuru yale mazuri aliyoifanyia tasnia yao kwa...

  4. Marioo kachagua kusimama na Paula katika vita zote

    Mapema wiki iliyopita ugomvi kati ya Abigail Chams na Paula iliibuka tena, baada ya ukimya wa muda, kitendo cha Marioo kuingilia kati na kumtetea binti huyo wa P-Funk Majani na Kajala Masanja ni...

  5. Rayvanny kamuongezea Dayoo mamilioni

    Mwimbaji wa Bongo fleva, Dayoo amesema kitendo cha kumshirikisha Rayvanny katika wimbo wake ‘Huu Mwaka Remix’ kinaenda kuongeza thamani yake katika soko na kutoka kufanya shoo kwa Shilingi 6...

  6. Kumbe Bieber alikataa ofa ya Usher kutumbuiza Super Bowl

    Imefichuka kuwa Usher Raymond IV alimuomba Justin Bieber ili watumbuize pamoja kwenye onyesho lake la Super Bowl wiki iliyopita lakini Bieber hakuwa tayari kwa ofa hiyo licha ya ukaribu wao wa...

  7. Jennifer Lopez kuvaa vidani vyenye jina la mumewe kwake kawaida

    Kuelekea siku ya wapendanao (valentine’s day) Februari 14, staa wa muziki na filamu duniani, Jennifer Lopez (J.Lo) ameongeza mkufu mwingine wenye kidani cha dhahabu chenye jina la mume wake, Ben...

  8. Tungo za mapenzi zinavyombeba Joh Makini

    Msanii wa Hip-hop Bongo kutoka kundi la Weusi, Joh Makini anaendelea kubamba na wimbo wake mpya ‘Formula’ au ‘Moto ‘Zimelia’ akiwashirikisha Jay Melody na Bien ambaye ni mwanachama wa kundi la...

  9. Wanaigeria wapigwa na kitu kizito tuzo za Grammy 2024

    Kama kuna kitu wasanii wa Nigeria walikuwa na uhakika nacho katika tuzo za 66 za Grammy 2024, ni kuondoka na ushindi mnono kutokana na kuchaguliwa kuwania vipengele vingi, pamoja na kupewa nafasi...

  10. Dvoice anacheza zake anga za Alikiba

    Ikiwa ni takribani miezi miwili tangu D Voice ametambulishwa kwenye ‘lebo’ ya WCB Wasafi, kupitia albamu yake, Swahili Kid (2023) tayari ameingia kwenye anga za wasanii wengine, akiwemo Alikiba...

Previous

Page 2 of 18

Next