Search

121 results for Peter Akaro :

  1. Diamond mkubwa kwenu ila sio kwa Zuchu

    Ikumbukwe Diamond anaelekea kutimiza miaka mitatu bila kutangaza rasmi uhusiano wake mpya tangu kuachana na Tanasha Donna wa Kenya Machi 2020 wakiwa wamejaliwa mtoto mmoja, Naseeb Jr aliyezaliwa...

  2. Phina asaini dili la miaka minne na Ziiki Media

    Mwimbaji wa Bongofleva aliyesumbua mwaka uliopita na ngoma 'Upo Nyonyo' na nyinginezo, Sarah Michael Kitinga 'Phina' amejiunga rasmi na kampuni kubwa ya usambazaji muziki barani Africa, Ziiki Media.

  3. Wapenzi 10 wa Diamondi na walivyoachana

    Kwa kipindi cha miaka 12 jina lake limehusishwa kuwa na uhusiano na wanawake zaidi ya 10 maarufu nchini Tanzania, Uganda na Kenya, katika mataifa hayo Diamond amezaa na walau mwanamke mmoja wa huko.

  4. Ligi ya Diamond na Alikiba ni piga nikupige!

    Ikumbukwe Diamond na Alikiba wamekuwa wakitajwa kama washindani wakubwa kwenye muziki wa Bongofleva na mashabiki wa pande zote mbili wamekuwa wakichochea hilo kwa kiasi fulani kwa kujaribu...

  5. 'Pele' achana na soka, muziki na filamu nako moto

    Mfalme wa soka duniani, Pele alipenda sana muziki na amekuwa mwgizaji wa filamu.

  6. Harmonize na mabinti damdam!

    Mwanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Harvad, Keith Simonton aligundua moja ya kanuni muhimu katika maisha aliyoipa jina la ‘The rule of equal odds’, linalosema chapisho lolote analotoa mwanasayansi...

  7. Muziki na siasa vyaacha historia Bongoflevani 2022

    Kwa mwaka 2022 Bongofleva imefanikiwa kuwaleta pamoja viongozi na kufurahia muziki huo, huku baadhi ya viongozi pia wakiwa sehemu ya kutoa burudani, hii ni alama nyingine iliyoachwa kwa mwaka huu.

  8. Sababu Bongofleva kuporomoka YouTube

    Baada ya kuongoza kwa miaka miwili mfululizo kusini mwa Jangwa la Sahara, mwaka 2022 unaoelekea kwisha, muziki wa Bongofleva umeporomoka upande wa kuvutia idadi kubwa ya watazamaji katika mtandao...

  9. Miaka 28 ya Mariah Carey kuvuna Sh5.8 bilioni kupitia wimbo ‘All I Want for Christmas is You’

    Ikiwa ni miaka 28 tangu kuachiwa kwake, mwimbaji wa Marekani, Mariah Carey anaendelea kuvuna mamilioni ya fedha kutokana na wimbo wake maarufu, ‘All I Want for Christmas is You’ ambao kila...

  10. Diamond, Harmonize uso kwa uso uzinduzi albamu ya Jux

    Mastaa wa Bongofleva, Diamond Platnumz na Harmonize miongoni mwa watakaohudhuria uzinduzi wa albamu mpya ya Jux ‘King of Hearts’ utakaofanyika Desemba7 mwaka huu katika ukumbi wa The Super Dome,...

Previous

Page 2 of 13

Next