Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

696 results for Rehema Matowo :

  1. Sh52.3 bilioni zatumika ujenzi wa Mahakama za mwanzo 60 nchini

    Fedha hizo ni sehemu ya mkopo wa riba nafuu kutoka Benki ya Dunia kupitia mpango wa maboresho ya huduma za utoaji haki.

  2. Udhaifu wa ushahidi wawachia huru walimu wawili kesi ya mauaji

    Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Geita imewaachia huru walimu wawili waliokuwa wakikabiliwa na shitaka la kuua bila kukusudia, baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha kesi yao pasipo...

  3. PRIME Kengele ya hatari wanaolala saa chache

    Daktari bingwa wa usingizi na ganzi salama kutoka Hospitali ya rufaa ya kanda Chato (CZRH) Amani Mollel, anasema hali ya kukosa usingizi wa kutosha hii ni tishio lisiloonekana, ambalo linaathiri...

  4. Takukuru, GGML washirikiana kudhibiti rushwa

    Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Geita, James Ruge amesema kuwa kongamano hilo limewakutanisha wadau kutoka taasisi za Serikali, mahakama, benki, viongozi wa dini na mashirika ya kiraia ili kujenga...

  5. Sh7 bilioni za Serikali zalala benki

    Fedha hizo zilitolewa tangu Machi 2025 zikiwa na lengo la kuwawezesha wafanyabiashara wadogo kuongeza mitaji yao na kujikwamua kiuchumi. Hata hivyo, mwitikio wa kuzichukua umekuwa mdogo mno.

  6. Wenje: Nitasimama na Chadema, sina mpango wa kuhama

    Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria, Ezekiah Wenje amesema hawezi kuhama chama hicho akisisitiza bado anaamini katika nguvu ya chama hicho kuleta mabadiliko ya kweli nchini licha ya...

  7. Watano kortini wakidaiwa kumuua dereva bodaboda Geita

    Kwa mujibu wa maelezo ya upande wa mashitaka, jioni ya siku ya tukio marehemu alipokea simu kutoka kwa mteja wake aitwaye Ester Kichele, aliyemuomba amsaidie kubeba mzigo wa kuni.

    New Content Item (1)
  8. Sungusungu atupwa jela miaka minane kwa kuua bila kukusudia

    Geita. Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, imemhukumu Majid Badru, Mtemi wa Sungusungu, kifungo cha miaka minane jela baada ya kukiri kumuua bila kukusudia Adil Jumanne, mkazi wa Mtakuja katika...

  9. Afikishwa mahakamani kwa madai ya kumuua mkewe

    Kesi hiyo namba 8275/2024, imewasilishwa mahakamani kwa ajili ya kusikilizwa kwa hoja za awali.

  10. Jela miaka 30 kwa kumbaka mtoto wa miaka 17

    Hukumu hiyo ilitolewa Aprili 29, 2025 na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Bruno Bongole.

Previous

Page 2 of 70

Next