Search

256 results for Saada Amir :

  1. Wahasibu wanawake wahamasisha wanafunzi kupenda hesabu

    Chama cha wahasibu wanawake nchini (Tawc) kimetoa zaidi ya vitabu 5, 000 vya hisabati na biashara kwa baadhi ya shule za sekondari ikiwa ni kuwahamasisha wanafunzi kupenda masomo hayo.

  2. Wenye ualbino wafundwa mbinu kukabiliana na maisha

    Wanafunzi na vijana wenye ualbino kutoka maeneo mbalimbali nchini wamefundwa stadi za maisha pamoja na mafundisho ya dini yatakayowajenga kisaikolojia na kuwawezesha kutimiza ndoto na malengo yao.

  3. Hizi hapa fursa za uwekezaji Mwanza

    Serikali mkoani Mwanza imetaja uvuvi, kilimo, madini na utalii kuwa miongoni mwa maeneo yenye fursa ya uwekezaji ikiwahalika wadau kuyachangamkia.

  4. Makalla aagiza polisi kulinda eneo saa 24 ujenzi usiendelee

    Hii ni mara ya pili uongozi wa mkoa huo kuagiza ujenzi wa eneo hilo kusitishwa ambapo awali maelekezo hayo yalitolewa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo, Adam Malima.

    New Content Item (1)
  5. ‘Mswahili’ ni nani? Wasikilize Wataalam

    Novemba, 2021 Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu , Sayansi na Utamaduni (Unesco) lilitangaza rasmi Julai 7 ya kila mwaka kuwa siku ya Kiswahili duniani na kukifanya Kiswahili kuwa lugha ya...

  6. Washiriki 150 kujadili mustakabadhi wa Kiswahili Mwanza

    Zaidi ya washiriki 150 kutoka ndani na nje ya nchi wanatarajia kukutana jijini Mwanza kwenye kongamano la Kimataifa la kujadili hali ya Kiswahili na mustakabadhi wake kwa maendeleo ya jamii na...

  7. Wanafunzi, vijana 252 wenye ualbino waweka kambi Mwanza

    Kambi ya wanafunzi hao wanaofadhiliwa na Shirika la Under the Same Sun (UTSS) imeanza jana Agost 5 na kutarajiwa kufungwa Agost 12, 2023 itakayohusisha upimaji wa afya, kliniki ya ngozi, kliniki...

  8. Simbachawene aeleza machungu ya kutumbuliwa, atoa maelekezo

    Simbachawene aliyekuwa nje ya Baraza la Mawaziri tangu mwaka 2017 alipoamua kujiuzulu kwa hiari nafasi yake ya Waziri wa Tamisemi baada ya Hayati Dk John Magufuli kuwataka wote walioguswa na...

  9. Tasaf yafikia walengwa vijiji 115 Misungwi

    Mpango wa kunusuru kaya masikini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) umetoa ruzuku kwa walengwa 12, 466 wa Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza yenye thamani ya Sh6.5 bilioni kwa awamu 15...

  10. Simbachawene ashtuka, aagiza uchunguzi fedha za Tasaf

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene ametoa muda wa siku 30 kwa uongozi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) kubaini zilipo fedha...

Previous

Page 2 of 26

Next