Search

296 results for Saada Amir :

  1. Mgomo ulivyowanufaisha wasafirishaji mizigo, huduma yarejea

    Baadhi ya abiria wasema abiria bado ni wengi usafiri ni changamoto, bajaji zikifungiwa sio sahihi

  2. Madaktari kutoka Cuba kuwanoa wanafunzi chuo kikuu Mwanza

    “Nchi ya Cuba ina wataalamu bingwa na wenye uzoefu mkubwa katika fani ya afya; ujio wao utatunufaisha kitaaluma,” amesema Catherine ambaye ni mwanafunzi.

  3. Mpambano Pambalu, Wenje Nyamagana

    “Muda utakapofika ambapo watu wanatangaza nia kwenda kwenye majimbo mimi nitasema nataka kwenda wapi, kwa sasa bado muda haujafika. Kugombea nitagombea lakini sasa nitagombea wapi, nitasema muda...

  4. PRIME Chadema yafunga jalada kina Mdee

    Wabunge 19 wa viti maalumu walifungua shauri mahakamani kupinga kuvuliwa uanachama Chadema, wakidai hawajasikilizwa

  5. Maandamano ya Chadema Mwanza yasogezwa hadi Februari 15

    Naibu Katibu Mkuu huyo amesema waandamanaji wanatarajiwa kutumia njia tatu tofauti katika wilaya za Ilemela na Nyamagana kabla ya kukutana eneo la Ghandi Hall, na kuhitimisha kwa mkutano wa...

  6. Runinga kutumika mapambano ya kipindupindu

    Runinga 57 zatolewa kupambana na magonjwa ya mlipuko, zitatumika kutoa elimu kwa umma.

  7. Masharti mapya kukabili kipindupindu, ‘red eyes’

    Aliwaomba wananchi kuacha utaratibu wa kusalimiana kwa kushikana mikono ili kuepuka kula bakteria, akidai hawawezi kujua wanaoshikana nao kama wana bakteria mikononi au la.

  8. Samaki wapungua Ziwa Victoria

    Vijana 1,213 kutoka mikoa ya kanda ya ziwa wanatarajiwa kunufaika na mradi wa boti hizo 55, huku wengine 989 wakitarajiwa kunufaika na vizimba 222.

  9. Mgogoro watishia uhai wa wafugaji, watumishi

    Vitendo vya wafugaji kuvamia na kulisha mifugo ndani ya shamba la Serikali Mabuki, vimezua uvunjifu wa amani baada ya kuibuka mapambano kati ya wavamizi na wafanyakazi wa shamba hilo.

  10.  Waziri Gwajima ataja dawa ya ukatili wa kijinsia kwenye familia

    Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Jinsia na Wanawake, Juliana Kibonde amewataka waratibu hao kuhakikisha kunakuwa na mrengo wa kijinsia katika miradi, afua na masuala ya uongozi kwenye maeneo...

Previous

Page 2 of 30

Next