Magori: Simba imara inakuja Wanasimba mpo? Mtendaji mkuu wa zamani wa Simba, Crescentius Magori amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo kwa kusema hakuna safari isiyokuwa na mabonde wala miinuko, huku akiwahakikishia kuwa bado...
Matiko, mawaziri wavutana bungeni mauaji Serengeti Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Matiko amewasha moto bungeni kwa kukabidhi nyaraka kwenye meza ya Naibu Spika ambazo ni ushahidi na uthibitisho wake juu ya madai ya vitendo vya mauaji...
PRIME Baba aua mtoto wa kambo, amzika kwenye shimo la takataka Hukumu imetolewa na Jaji Karayemaha ikizingatia ushahidi wa mkewe na maelezo ya mshtakiwa mwenyewe.
Man United kuivaa Liverpool ikiwa imecheza mechi 30. Kwa Manchester United, ushindi utaweka hai matumaini yao ya kutinga Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao na kwa Liverpool, kupata pointi tatu ugenini leo kutaifanya...
PRIME Hayati Karume unayajua haya? Nisikilize... Siku ile unauawa Kisiwandui, kuna binti alikuwa na umri wa miaka 12, akimaliza mwaka wa mwisho, Shule ya Msingi Mahonda, Zanzibar.
Kilichojificha kuhusu aliyemuua Sheikh Karume Vyombo mbalimbali vya habari Tanzania na duniani wakati huo vilimtaja Luteni Humud Muhammed Humud kuwa ndiye aliyetekeleza mauaji hayo akishirikiana na wengine ambao baadaye walipigwa risasi na...
Wiki ya Abaya, Hina, Kanzu maandalizi ya Eid EL Fitri Baada ya takribani siku 27 za mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, mawazo ya Waislamu wengi kwa sasa yanaelekezwa kwenye sikukuu ya Eid El Fitri, inayotarajiwa kuwa kati ya Aprili 10 na 11, mwaka...
PRIME Kitendawili kuwahamisha walioathiriwa na mafuriko Rufiji Wananchi hao wameathiriwa na mafuriko yaliyofunika makazi na mashamba yao baada ya maji ya Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) kufunguliwa.
LHRC yataka midahalo ya wagombea, diaspora na wafungwa kupiga kura ambayo wakija na hoja wanaweza kushindana na chama kilichopo madarakani. “Wanapofanya utafiti na kubaini mambo mbalimbali basi wajitahidi kutoa matokeo yake kwa lugha nyepesi, ili wananchi waweze...
Mambo matatu kuibeba Simba hivyo ushindi huo kwa Simba ugenini utategemea zaidi namna ambavyo benchi la ufundi na wachezaji watarekebisha kasoro tatu ambazo zimejionyesha katika mchezo huo. Jambo la kwanza ambalo...