Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1944 results for Tatu Mohamed :

  1. Yanga wamebeba tena

    Duke Abuya na Clement Mzize, wamekata kiu ya mashabiki wa Yanga baada ya kufanikisha kutwaa Kombe la Shirikisho (FA) katika mchezo wa fainali uliofanyikwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.

  2. Aliyekosa fursa kuwania urais TLP aipata ADC, Hamad Rashid…

    Chama cha Alliance For Change, (ADC), kimemchagua Wilson Elias kuwa mpeperusha bendera kwa tiketi ya chama hicho kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu...

  3. Yanga, Singida BS ni fainali ya heshima, rekodi na kisasi

    Imepita takribani miezi minane sawa na siku 243 tunarudi tena New Amaan Complex, Zanzibar kushuhudia Singida Black Stars ikicheza dhidi ya Yanga.

  4. Elliott afichua kuondoka Liverpool

    Harvey Elliott amekuwa mkweli kuhusu mustakabali wake. Huku akikiri kuwa muda wake Anfield unakumbwa na majaribu, nyota huyo wa England chini ya miaka 21 sasa yupo kwenye njia panda ama kusalia...

  5. Wydad yaondoka kinyonge Kombe la Dunia la Klabu

    Klabu ya Wydad Casablanca imemaliza kucheza mechi zake za hatua ya makundi ya Kombe la Dunia la Klabu ambayo inatimua vumbi huko Marekani huku Klabu hiyo ikiondoka na rekodi mbaya ya kupoteza...

  6. PRIME Shahidi muhimu kesi ya Wakenya wanaodaiwa kuua Mtanzania kutotajwa

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imezuia kutajwa majina na mahali anapoishi, shahidi muhimu katika kesi ya mauaji ya Mtanzania Mohamed Ameir inayowakabili raia...

  7. Al Ahly yatupwa nje, Messi kuvaana na PSG Kombe la Dunia la Klabu

    Baada ya Wydad Casablanca kutolewa juzi, matumaini ya Afrika kwenye Kombe la Dunia la Klabu yamezidi kufifia baada ya Al Ahly ya Misri kutupwa nje mapema alfajiri ya leo kufuatia sare ya mabao...

  8. PRIME Janga la Kiingereza vyuoni, Waziri ataja mbinu

    Si tu wanafunzi wengi vyuoni wanashindwa kuzungumza Kiingereza, lakini hata katika maeneo ya uandishi na uzingativu wa sarufi wanaonekana 'wamechoka' mno.

  9. Mahakama yamng’ang’ania aliyeiba Sh23,000, jela miaka 30

    Hii ni rufaa yake ya pili kushindwa ambapo awali alihukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni baada ya kukutwa na hatia ya unyang’anyi wa kutumia silaha kinyume na kifungu cha 287A cha Kanuni...

  10. Waandikishaji wapigakura watakiwa kuzingatia viapo

    Kuhusu idadi kamili ya watakaosajiliwa kwenye vituo hivyo, Mkina amesema bado haijajulikana kwa sababu hali ya Magereza hubadilika mara kwa mara kutokana na uingiaji na utokaji wa wafungwa na...

Previous

Page 2 of 195

Next