Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1937 results for Tatu Mohamed :

  1. PRIME Janga la Kiingereza vyuoni, Waziri ataja mbinu

    Si tu wanafunzi wengi vyuoni wanashindwa kuzungumza Kiingereza, lakini hata katika maeneo ya uandishi na uzingativu wa sarufi wanaonekana 'wamechoka' mno.

  2. Mahakama yamng’ang’ania aliyeiba Sh23,000, jela miaka 30

    Hii ni rufaa yake ya pili kushindwa ambapo awali alihukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni baada ya kukutwa na hatia ya unyang’anyi wa kutumia silaha kinyume na kifungu cha 287A cha Kanuni...

  3. Waandikishaji wapigakura watakiwa kuzingatia viapo

    Kuhusu idadi kamili ya watakaosajiliwa kwenye vituo hivyo, Mkina amesema bado haijajulikana kwa sababu hali ya Magereza hubadilika mara kwa mara kutokana na uingiaji na utokaji wa wafungwa na...

  4. Ligi Kuu ngoma imeisha hivi

    Yanga imefanikiwa kupata ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Dodoma Jiji na kufanikiwa kufunga mabao kumi kwenye michezo miwili baada ya siku tatu nyuma kuichapa Tanzania Prisons mabao 5-0 kwenye...

  5. PRIME Hatua kwa hatua uzinduzi Daraja la JP Magufuli

    Historia ya ujenzi wa daraja hilo, inaanzia enzi za Serikali ya Awamu ya Tano, chini ya hayati John Magufuli aliyeliasisi na kuanza utekelezaji wake hadi Machi 17, 2021 alipofariki dunia.

  6. Mwanafunzi mbaroni tuhuma mauaji ya mwenzake, mwingine ajinyonga

    Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Alhamisi, Juni 19,2025 na Kamanda wa Kanda hiyo, Jumanne Muliro tukio hilo lilitokea jana Jumatano Juni 18, 2025 katika shule hiyo iliyopo Kawe Kinondoni.

  7. Ajirusha bahari kutoka kwenye boti, aokolewa

    Mohamed Shaib Saleh, mkazi wa Pemba, ameokolewa salama baada ya kujirusha baharini kutoka kwenye boti ya Zanzibar 3 iliyokuwa safarini kutoka Pemba kuelekea Unguja.

  8. Hesabu kali za kujiokoa Ligi Kuu

    Vita hii ni kali zaidi kwani inahusisha timu nyingi tofauti na ile ya ubingwa inayozihusu Yanga inayoongoza kwa pointi 73 sambamba na Simba iliyopo nafasi ya pili na pointi 72.

  9. Rais Samia azindua ofisi ya RC Simiyu, aahidi neema kwa wakulima

    Ametaja faida kadhaa zinazotokana na utekelezaji wa mradi huo ikiwemo mazingira bora ya kazi na huduma kwa watumishi na wananchi wanaofika katika ofisi hizo.

  10. Al Ahly yaikazia Inter Miami ya Messi Kombe la Dunia la Klabu

    Inter Miami ya Lionel Messi wa imelazimishwa suluhu na Al Ahly ya Misri katika michuano ya Kombe la Dunia la Klabu.

Previous

Page 2 of 194

Next