Uhuru wa habari ni wajibu wa kila mdau Leo ni Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, ambayo huadhimishwa Mei 3, kila mwaka. Katika siku hii, wadau wanapata nafasi ya kutafakari umuhimu wa tasnia ya habari katika kuchochea uhuru...
PRIME Undani sakata la vyama 19 vya wafanyakazi kuunda shirikisho jipya Wakati maandalizi ya sherehe za sikukuu ya wafanyakazi (Mei Mosi) yakiendelea, vyama 19 vya wafanyakazi wa sekta binafsi vinakusudia kuanzisha shirikisho lao, kwa sababu ya kile wanachodai...
Matumizi ya rada yaokoa wachimbaji migodini “Rada hii ilisaidia sana mwaka 2007 ambapo kulitokea maporomoko makubwa ya ukuta lakini kutokana na kifaa hiki, yalibainika mapema na kuchukua hatua stahiki ikiwamo kudhibitiwa,” amesema.
PRIME Mvua ya maafa yazidi kutikisa nchini Kukatika kwa mawasiliano kwa baadhi ya maeneo kumesababisha athari kubwa kwa wananchi, ikiwamo kuongeza gharama za maisha kama vile nauli na ugumu wa upatikanaji wa huduma nyingine.
Tanapa yafufua ujenzi hoteli ya kitalii Chato Serikali yatoa Sh480 milioni kuendelea na ujenzi uliokuwa umesimama kutokana na ukosefu wa fedha.
Mbunge wa CCM, wadau washauri tatizo la vivuko Kigamboni Wananchi wa Kigamboni wameeleza uchache wa vivuko ni sababu ya kushindwa kuvuka kwa wakati hali inayojitokeza nyakati za usiku na asubuh. Wametoa mapendekezo ya nini cha kufanyika kumaliza tatizo...
PRIME Uzalishaji umeme wapaa, wabunge walia uuzaji dizeli Wakati Wizara ya Nishati ikiliomba Bunge kuidhinisha Sh1.883 trilioni, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imetaka udhibiti wa uuzaji holela wa mafuta ya dizeli na petroli pamoja na...
Serikali kutoa mwongozo mahudhurio shuleni wakati wa mvua Mwongozo huo kutolewa na Kamishna wa Elimu, ukijumuisha mabadiliko ya ufundishaji
PRIME Mvua zaleta maafa kila kona, hofu yaongezeka, shule zafungwa Mvua zinazonyesha sehemu tofauti nchini zimeendelea kusababisha uharibifu wa mali, miundombinu, mashamba na hata kusababisha vifo vya watu kutokana na kufurika kwa maji.
Rais Samia azindua vitabu kuhusu Muungano, agusia Baraza la Mawaziri Rais Samia Suluhu Hassan amezindua vitabu viwili kuhusu Muungano akitaka vitafsiriwe kwa lugha za Kiswahili na Kiingereza kuwezesha Watanzania na wageni kuvielewa.