Makada CCM waendelea kujitosa ubunge, ushindani waongezeka majimboni Shughuli hiyo ilianza jana Juni 28, 2025 ambapo makada mbalimbali wa chama hicho walijitokeza kuchukua fomu katika ofisi za CCM wilaya nchi nzima, huku ushindani ukitarajiwa kuwa mkali katika...
PRIME Mshikemshike uchukuaji fomu CCM Mshikemshke wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania uteuzi wa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) umeanza rasmi leo, Juni 28, 2025, na kuvutia makada...
PRIME Kishindo cha Samia Rais Samia Suluhu Hassan amelihutubia Bunge la 12 akihitimisha shughuli zake kwa kuzungumzia mambo mbalimbali yaliyotekelezwa na Serikali yake, yakiwamo yanayohusu Uchaguzi Mkuu, Katiba mpya na...
Nderemo na vifijo vyatawala Samia akilifunga Bunge Ni hotuba iliyosheheni utekelezaji wa sekta mbalimbali. Ndivyo unavyoweza kusema kuhusu hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 ambalo litavunjwa rasmi Agosti 3,...
Amnesty: Maandamano ya Gen-Z Kenya yasababisha vifo vya watu 16 Maandamano hayo yalikuwa yakiwakumbuka waandamanaji 60 waliouawa Juni 25, 2024, wakati wa maandamano ya kupinga muswada wa fedha.
Maeneo saba kushindaniwa tuzo za utalii Serikali imetaja maeneo saba ya ubora yatashindaniwa katika Tuzo za Utalii Duniani Kanda ya Afrika na Bahari ya Hindi kwa mwaka 2025 (World Travel Awards), zitakazofanyika Juni 28, 2025 jijini...
Washindi Tuzo ya Safal ya Kiswahili kujulikana Julai 3 Wakati washindi wa tuzo ya Kiswahili ya Safal ya Fasihi ya Afrika kwa tanzu za riwaya, ushairi, wasifu, tamthilia na michoro wakitarajiwa kutangazwa Julai 3, 2025, imeelezwa kuwa kiwango cha...
Kenya yazuia maandamano ya Gen-Z kuoneshwa mubashara Maandamano yanayoendeshwa na kizazi cha Gen-Z Kenya yamefanya Mamlaka ya Mawasiliano (CA) kuagiza vituo vyote vya televisheni na redio kuacha kurusha matangazo ya moja kwa moja ya maandamano...
PRIME ZEC msifumbie macho malalamiko, fanyieni kazi ni kuhusu marufuku ya baadhi ya waandishi wa habari kuandika au kupiga picha za matokeo yanayobandikwa vituoni baada ya uchaguzi. Matokeo hayo si siri, na hivyo ZEC inapaswa kueleza...
Polisi Dar yatoa uhakika wa usalama Dabi ya Simba na Yanga kesho Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam limewahakikishia usalama wananchi katika mechi ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa kesho Jumatano Juni 25, 2025 huku ikiwaonya wenye lengo la...