Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1132 results for Hadija Jumanne :

  1. Ugomvi wa kuku, wampeleka jela miaka minne

    Mshtakiwa huyo alishtakiwa chini ya kifungu 196 cha Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 iliyofanyiwa marejeo mwaka 2022.

  2. PRIME Siku 48 za Dk Slaa mahabusu, asema atarudi Chadema

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemfutia kesi ya jinai na kumwachia huru Mwanasiasa mkongwe, Dk Willibrod Slaa (76), baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) kuieleza Mahakama hiyo...

  3. VIDEO: Alichokisema Dk Slaa baada ya kuachiwa huru

    Mwanasiasa Mkongwe Tanzania, Dk Wilibrod Slaa (76) amesema anapigania kuondoka sheria zote mbovu, na ni kati ya watu wanaosimama ‘No reforms no elections’ na msimamo wake unajulikana.

  4. DPP amfutia kesi Dk Slaa, aachiwa huru

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemfutia kesi mwanasiasa Mkongwe nchini, Dk Wilibrod Slaa (76) baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kuieleza Mahakama kuwa hana nia ya kuendelea na...

  5. PRIME Sababu aliyemchoma mke kwa gunia mbili za mkaa kuhukumiwa kunyongwa

    Alidai aliwadanganya ili kujinusuru na mateso ya kipigo kutoka kwa askari polisi waliomtaka awaonyeshe iliko maiti ya mkewe.

  6. Aliyemuua mkewe, kumchoma kwa magunia ya mkaa ahukumiwa kunyongwa

    Katika kesi hiyo ya jinai namba 44/2023, Hamis, mkazi wa Gezaulole, wilayani Kigamboni, alikuwa anakabiliwa na shtaka la mauaji ya mkewe Naomi Orest Marijani kinyume cha kifungu cha 196 na 197...

  7. Kesi ya mtoto wa Askofu Sepeku dhidi ya kanisa, kunguruma Machi 28

    . Sepeku alipewa zawadi na kanisa hilo ambayo ni  nyumba iliyopo Buguruni na kiwanja chenye ukubwa wa ekari 20 kilichopo Buza, wilayani Temeke na kama zawadi kwa kutambua mchango wake katika kanisa...

  8. Anayedaiwa kuendesha biashara ya upatu ajifungua gerezani

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeelezwa kuwa Mkurugenzi wa kampuni ya mikopo ya Atlantic Micro Credit Limited, Wendy Ishengoma (38) anayekabiliwa na mashitaka ya kuendesha biashara ya upatu...

  9. Wanaodaiwa kuiba mafuta ya Tipper kuendelea kusota rumande

    Kwa pamoja wanakabiliwa na mashitaka 20 yakiwemo ya kutakatisha fedha na wizi wa mafuta ya petroli na dizeli zaidi ya lita 9.9 milioni na kuisababishia hasara kampuni ya Tiper ya zaidi ya Sh26...

  10. Upelelezi kesi ya kumiliki kobe 116,  bado 'kiza'

    Kilawi amedai kuwa kesi hiyo imeitwa kwa ajili ya kutajwa na upelelezi wake bado unaendelea, kwa hiyo wanaomba tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa.

Previous

Page 11 of 114

Next