Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1263 results for Herieth Makwetta :

  1. Shinikizo la damu laongoza kusababisha vifo, wataalamu waonya

    Kwa mujibu wa wataalamu, ni vigumu kubaini ikiwa shinikizo la damu liko juu kulingana na jinsi mtu anavyohisi

  2. Utafiti wabaini changamoto kwa madaktari kubaini magonjwa adimu

    Madaktari bingwa wa watoto nchini wamependekeza itengenezwe aplikesheni maalumu itakayotumika kwenye simu janja kuwasaidia wataalamu wa afya kubaini na kutibu magonjwa adimu nchini.

  3. PRIME Makosa hatari ya kitabibu kwa wagonjwa wodini

    Utafiti umeonesha wagonjwa wengi mahututi, hupoteza maisha kwa sababu kuna huduma muhimu za msingi ambazo hazitolewi au hazizingatiwi kwa wagonjwa wanaolazwa katika wodi za kawaida.

  4. PRIME Kiharusi sasa tishio, mbinu za kukiepuka

    Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI) imesema kuna ongezeko la wagonjwa wa kiharusi nchini.

  5. Umuhimu wa sayansi kukuza uchumi wa buluu

    Mnyeti amesema kwa kutambua hilo, leo katika ziara yake mkoani Tanga, Rais Samia Suluhu Hassan atakabidhi boti 30 na mitumbwi 60 ya uvuvi, ikiwa ni awamu ya pili ya mpango wa BBT.

  6. Kama wewe unatumia iPhone hili linakuhusu

    Kama wewe ni mtumiaji wa iPhone na vifaa vingine vya kampuni ya Apple hili linakuhsu, unadhani serikali inapaswa kuwa na uwezo wa kufikia taarifa zako binafsi, au Apple inapaswa kuendelea kulinda...

  7. 93 waruhusiwa kutoka karantini marburg ikiua wawili Kagera

    Serikali imesema watu 93 waliohisiwa kuwa na dalili zinazofanana na ugonjwa wa marburg, wameruhusiwa baada ya kupimwa kwa kuzingatia taratibu na kanuni za afya ya kimataifa na kuthibitika kuwa...

  8. PRIME Bingwa wa kisukari asimulia milima, mabonde ya kutibu ugonjwa huo Tanzania

    Ana miaka 70 na 43 kati ya hiyo ametumia katika kufanya utafiti na kutibu ugonjwa huo.

  9. Profesa Kaushik aonya unywaji soda asubuhi, usiku

    Kama una ratiba za kunywa soda kila siku, hasa aina ya cola upo kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa wa kisukari, Profesa Kaushik Ramaiya amesema.

  10. Afya ya uzazi kwa vijana mtegoni USAID ikisitisha misaada

    Kwa kiasi kikubwa miradi hii ilisaidia kupunguza maambukizi mapya ya VVU, mimba za utotoni, uzazi salama na kusaidia upatikanaji na mahitaji ya bidhaa na huduma za afya ya uzazi, huku ikiweka...

Previous

Page 11 of 127

Next