Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1067 results for Peter Elias :

  1. Dk Nchimbi amwagiza Waziri Masauni awaachie viongozi Chadema

    Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amemwagiza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Daniel Sillo kuzungumza na waziri wake, Hamad Masauni, ili kuona namna ya kuwaachia...

  2. Dk Nchimbi atembelea kaburi la hayati Magufuli Chato, aeleza namna ya kumuenzi

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema hakuna namna bora ya kumuenzi Rais wa awamu ya tano, hayati John Magufuli zaidi ya kuendeleza kazi aliyoianzisha.

  3. Ziara ya Dk Nchimbi ilivyoibua kero ya vitambulisho vya Taifa Kagera

    Kagera ni mkoa wa 15 aliotembelea Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi tangu alipoteuliwa Januari 2024 na Halmashauri Kuu ya CCM chini ya uenyekiti wa Rais Samia Suluhu...

  4. Dk Nchimbi: Serikali ijenga makumbusho ya vita vya Kagera

    Lengo la kuwa na makumbusho hiyo, amesema ni kuhifadhi historia hiyo kwamba Tanzania iliwahi kupigana vita na adui yake na ikashinda. Pia, amesema lengo jingine ni kuieleza dunia kwamba...

  5. Makalla amkaribisha Lissu CCM, mwenyewe ajibu

    Ukaribisho huo umetolewa zikiwa zimepita siku chache baada ya Lissu kunukuliwa akisema Chadema si mama yake na kwamba, atakuwa tayari kukihama chama hicho endapo kitakiuka misingi yake.

  6. 12 mbaroni sakata la ubakaji, wamo wanne waliotumwa na ‘afande’

    Misime amesema watuhumiwa hao walikamatwa mkoani Dodoma na Mkoa wa Pwani, huku Jeshi hilo likiendelea kuwatafuta watuhumiwa wawili ambao hawajapatikana hadi sasa.

  7. Msigwa: Hakuna chama zaidi ya CCM

    Msigwa ameeleza hayo leo kwenye mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi uliofanyika katika Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya siku nne mkoani humo

  8. Dk Nchimbi atoa maagizo kwa Serikali, amwita naibu waziri

    Kufuatia kupaa kwa bei ya Kahawa mkoani Kagera, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameipongeza Serikali kwa kusimamia jambo hilo kwa maslahi ya wakulima mkoani humo...

  9. Wakazi Ngara walia upatikanaji wa vitambulisho vya Nida, maji

    Wakazi wa Kijiji cha Kumunazi kilichopo Wilaya ya Ngara mkoani Kagera, wameeleza kero ya kutopatiwa vitambulisho vya Taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), jambo...

  10. Maandamano yanavyotumika kama silaha ya mabadiliko

    Mataifa mbalimbali katika bara la Afrika na kwingineko duniani, yanashuhudia maandamano ya wananchi wanaoshinikiza mambo tofauti wanayotaka serikali katika mataifa yao ziyafanye kwa ajili yao.

Previous

Page 11 of 107

Next