Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1132 results for Hadija Jumanne :

  1. Korti yamfutia dhamana anayeshtakiwa kwa kumiliki kobe

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemfutia dhamana na kumrudisha rumande, mshtakiwa Mwaluko Mgomole (41) baada ya kuruka dhamana.

  2. Washtakiwa wa 'unga' waihoji Serikali, wajibiwa

    Washtakiwa tisa wanaokabiliwa na kesi ya kusafirisha kilo 332 za heroine na methamphetamine, wamehoji upande wa mashtaka uwaeleze upelelezi wa kesi yao umefikia asilimia ngapi.

  3. Upelelezi kesi ya kuchana noti za Sh4.6 bilioni Benki Kuu bado

    Upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayowakabiliwa washtakiwa 13 wanaokabiliwa mashtaka ya kuhujumu uchumi, likiwemo la kuharibu noti zenye thamani ya Sh4.6 bilioni bado unaendelea.

  4. Bosi Jatu ahoji upelelezi kutokukamilika miaka mitatu

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisitu, imeitaka Serikali tarehe ijayo, itoe majibu sababu gani inayosababisha upelelezi wa kesi ya iwasilishe majibu kuhusiana mshtakiwa, Peter Gasaya (33) ambaye ni...

  5. Korti yaamuru Dk Slaa apelekwe mahakamani Machi 4

    Hakimu Swallo, baada ya kusikiliza hoja za pande zote, amekubaliana na hoja ya upande wa utetezi na kuamuru tarehe ijayo ya kesi hiyo, Dk Slaa aletwe mahakamani.

  6. Anayedaiwa kuwachapa fimbo wanafunzi wa madrasa kortini

    Mwalimu huyo amefikishwa mahakamni hapo leo Jumatano, Februari 19, 2025 na kusomewa mashtaka yake na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Rabia Ramadhani akisaidiana na Nicas Kihemba, mbele ya Hakimu...

  7. Anayedaiwa kusafirisha vinyonga, nyoka aendelea kusota rumande

    Serikali ya Tanzania imeieleza Mahakama bado inaendelea na upelelezi katika kesi ya kusafirisha vinyonga 164, nyoka na mijusi, inayomkabili Eric Ayo na wenzake wawili.

  8. Korti yaruhusu wanandoa kufanya mazungumzo na DPP

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeruhusu wanandoa wanaokabiliwa na kesi ya kusafirisha gramu 41.49 za dawa za kulevya aina ya heroini kufanya majadiliano na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP)...

  9. Kesi ya Dk Slaa kutajwa leo Mahakama ya Kisutu

    Kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika Mtandao wa X inayomkabili mwanasiasa mkongwe nchini, Dk Willibrod Slaa (76) itatajwa leo Jumatano, Februari 19, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

  10. Pacha waliotenganishwa waruhusiwa kuondoka Muhimbili

    Kwa mujibu wa taarifa ambazo Mwananchi imezipata, watoto hao wameanza kujengewa nyumba mjini Igunga na msamaria mwema ambaye hajataka kutajwa jina.

Previous

Page 12 of 114

Next