Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1434 results for Janeth Joseph :

  1. Udumavu ulivyoacha makovu ndani ya jamii -2

    Soma zaidi hapa...

  2. Serikali kurejesha viwanda vilivyobinafsishwa na havijaendelezwa

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amesema Serikali imeanza mpango wa kurejesha viwanda vyote vilivyobinafsishwa kwa zaidi ya miaka 15 bila kuendelezwa hatua ambayo itasaidia kuchochea...

  3. RC Kilimanjaro awataka kila anayepewa hati ya kiwanja apande miti mitano

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amewaagiza maofisa ardhi kuhakikisha kila anayepata hati ya kiwanja anapanda miti isiyopungua mitano, hatua inayolenga kurejesha uoto wa asili uliopotea...

  4. UVCCM yawataka vijana kulinda taswira  ya Taifa mitandaoni

    Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Moshi Vijijini, umewataka vijana kuwa mstari wa mbele katika kulinda taswira, heshima na masilahi ya Taifa kwa kuzingatia maadili na...

  5. Mwenyekiti asimulia mtuhumiwa wa mauaji alivyomueleza tukio zima

    Tukio la mauaji ya kijana Mathias Teti (26), mkazi wa Kitongoji cha Kireiyo, Kata ya Uru Shimbwe, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, limewaacha wakazi wa eneo hilo na mshangao baada ya kudaiwa...

  6. Baba adaiwa kumuua mwanaye kisa pombe ya posa

    Mkazi mmoja wa Uru Shimbwe mkoani Kilimanjaro, Laurian Teti anadaiwa kumuua kijana wake mwenyewe baada ya kumdai pombe iliyonunuliwa kwa ajili ya maandalizi ya kikao cha posa ya dada yake.

  7. Mchungaji wa EAGT akutwa amefariki chumbani Moshi

    Mchungani wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) Makimbilio, Manispaa ya Moshi, Jane Mwangalimi, amekutwa amefariki dunia nyumbani kwake alikokuwa akiishi na mjukuu wake wa...

  8. PRIME Mkurugenzi Mkuu TAA aondolewa kesi ya mgogoro wa ardhi KIA

    Soma zaidi hapa...

  9. KCMC kutibu tezi dume kwa kutumia teknolojia ya mvuke

    Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka India, inatarajia kuanza kufanya upasuaji wa kisasa wa kutibu tezi dume kwa kutumia teknolojia mpya...

  10. Vijana walivyomzika mwenzao anayedaiwa kujinyonga mahabusu

    Kijana huyo ambaye ni fundi bomba na dereva bodaboda mkazi wa mtaa wa Karikacha, kata ya Rau, Mkoani Kilimanjaro anadaiwa kujinyonga kwa kutumia mkanda akiwa mahabusu alikokuwa akishikiliwa...

Previous

Page 12 of 144

Next