Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1158 results for Jesse Mikofu :

  1. Mke wa Rais wa Finland azindua jengo la dawati la jinsia na watoto Zanzibar

    Wakati mke wa Rais wa Finland Suzanne Innes-Stubb akizindua jengo la dawati la jinsia na watoto Zanzibar na kutajwa kuwa kimbilio la wengi, takwimu za miaka mitatu za ukatili wa kijinsia...

  2. Usafiri wa bodaboda kupangiwa bei elekezi Zanzibar

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetangaza kuwa iko katika hatua za mwisho za kuandaa viwango maalumu vya nauli kwa waendesha bodaboda, ili kuondoa changamoto ya kila mmoja kuweka bei...

  3. SMZ yafungua fursa mpya kwa diaspora kuwekeza

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imechukua hatua thabiti kutambua na kuthamini mchango wa Wazanzibari wanaoishi nje ya nchi (diaspora) katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi, kwa kufanya...

  4. Wawakilishi walalama kesi za udhalilishaji kuja kivingine

    Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameitaka Serikali kufanya mapitio ya Sheria ya Mtoto, wakieleza kuwa kumeibuka changamoto ya madai ya kubakwa ambayo wakati mwingine yanaibuliwa na watu...

  5. Wizara kuratibu upatikanaji ajira 20, 000 ndani na nje ya nchi

    Shariff amesema pia wataratibu kuimarisha mazingira ya kazi na uhusiano kazini, kusimamia ulinzi wa haki za wafanyakazi, ulinzi wa afya na usalama kazini na utatuzi wa migogoro ya kazi na kufanya...

  6. Wawakilishi: Vikosi vya SMZ visitumike vibaya

    Wakati taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu, wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameonya matumizi mabaya ya vikosi vya SMZ katika uchaguzi huo.

  7. Tasaf awamu ya tatu kujikita kwenye mabadiliko ya tabianchi

    Unguja. Awamu ya pili ya utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) inapoelekea ukingoni, maandalizi ya awamu mpya yanayoanza Oktoba mwaka huu yanaendelea. Kipaumbele kikubwa kitawekwa...

  8. Wizara, jumuiya za utalii wabuni mpango kuongeza watalii Zanzibar

    Ili kufikia lengo la Serikali kuingiza watalii 829,00 mwaka huu, Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar kwa kushirikiana na wadau wengine wameingia makubaliano na taasisi tano kufanikisha...

  9. Sh131.3 bilioni kutekeleza vipaumbele tisa, Katiba na Sheria

    Wizara ya Katiba, Sheria Utumishi na Utawala Bora, imepanga kutekeleza vipaumbele tisa huku ikiliomba Baraza la Wawakilishi kuidhinisha Sh131.337 bilioni.

  10. PRIME Majura, Regina wasimulia safari yao na Charles Hilary

    “Alibarikiwa na kipaji kikubwa cha kutangaza, sauti yake ilikuwa na mvuto kwa kila kipindi, asingeweza kufanya kipindi iwe kwenye michezo au habari za kawaida ukashindwa kufurahia, au ukasikia...

Previous

Page 12 of 116

Next