Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

392 results for Mariam Mbwana :

  1. PRIME Visa, mikasa ndoa za ukewenza, namna ya kuishi kwa amani

    Ingawa baadhi ya imani za kidini na mila zinaruhusu ndoa ya zaidi ya mke mmoja, wivu, mashindano na visasi vimekuwa vikionekana kama vikwazo kwa baadhi ya wanawake kuingia kwenye aina hii ya ndoa.

  2. Kenya yatangaza siku tatu za maombolezo vifo vya wanafunzi 17

    Katika siku hizo tatu za maombolezo kuanzia Jumatatu, Septemba 9, 2024, hadi Jumatano, Septemba 11, bendera ya nchi hiyo na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zitapepea nusu mlingoti katika...

  3. Fursa zilivyojificha kwenye ubunifu wa vifungashio

    Wajasiriamali nchini wamepewaa mbinu za kuwawezesha kulifikia kikamilifu soko la ndani na nje ya nchi, wakitakiwa kuwa wabunifu wa vifungashio na mikebe ya bidhaa zao.

  4. Moto waua wanafunzi 17, wajeruhi 14

    Miili ya wanafunzi 16 waliofariki katika eneo la ajali imeteketea kiasi cha kutotambulika

  5. Wapinga rushwa ya ngono washangilia uamuzi wa Bunge

    Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa uliwasilishwa bungeni Septemba 2, 2024

  6. Watendaji wa mitaa, kata wabebeshwa ajenda kupinga ukatili

    Watendaji wa kata na mitaa nchini wamehimizwa kuibeba ajenda ya kupinga ukatili wa kijinsia katika mipango ya maendeleo kwenye maeneo yao.

  7. Janga la usomaji wa zimamoto vyuoni

    Unaposikia ‘zimamoto’ tafsiri inayoweza kuja haraka kichwani mwako ni kitendo cha kutumia maji, mchanga au vifaa maalum kuzima moto.

  8. Wahandisi vijana kupigwa msasa na ERB

    Dar es Salaam. Wahandisi vijana takriban 500 wanatarajiwa kushiriki katika kongamano lililoandaliwa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) likilenga kuwapiga msasa. Kongamano hilo la siku mbili...

  9. Wazazi, walezi chanzo watoto kujihusisha na ukatili

    Wazazi na walezi kutowajibika ipasavyo kwenye makuzi ya watoto kumetajwa kuwa miongoni mwa sababu za wao kukosa misingi mizuri ya ustawi na kusababisha kushamiri vitendo vya ukatili katika jamii.

  10. Zijue sababu za mtoto kuchelewa kuongea

    Inapotokea mtoto amechelewa kuzungumza, husababisha wasiwasi pengine mtoto wake ana changamoto za kiafya zinazosababisha kuchelewa kuzungumza.

Previous

Page 12 of 40

Next