Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1132 results for Hadija Jumanne :

  1. Upelelezi kesi ya kumiliki mijusi 226 bado

    Rimoy ametoa taarifa hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Aaron Lyamuya kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado unaendelea.

  2. Mapya Wapakistan wanaodaiwa kusafirisha dawa za kulevya

    Pia, washtakiwa hao wamedai hawana mawasiliano na familia zao zilizopo Pakistan, tangu walipofikishwa mahakamani hapo.

  3. Watatu kortini wakidaiwa kusafirisha kilo 145 za mirungi

    Mshtakiwa Said Ndomboloa(wa kwanza kulia) alifuatilia wa na Amor Seiph( katikati) na Hamisi Ndomboloa, wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisitu baada ya kusomewa kesi ya kusafirisha mirungi...

  4. Kesi tano kupishana Kisutu leo, imo ya wanaodaiwa kukutwa na mijusi na vinyonga 164

    Kwa mara ya kwanza, washtakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo Januari 9, 2025, na kusomewa kesi ya uhujumu uchumi namba 395 ya mwaka 2025.

  5. Wawili kortini wakidaiwa kusafirisha dawa za kulevya kilo 62

    Wafanyabiashara wawili, Quizbat Shirima (38) na Linda Massawe (28) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka mawili likiwemo la kusafirisha dawa za kulevya...

  6. Upelelezi kesi ya Dk Manguruwe 'ngoma nzito'

    Serikali bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu kama Dk Manguruwe.

  7. Kesi ya bwana jela anayedaiwa kughushi msamaha wa Rais yakwama tena

    Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Gereza la Ukonga, Josephat Mkama na wenzake wawili, imekwama kuanza kusikilizwa.

  8. Mahakama yatoa maagizo kesi ya Boni Yai, nyingine yakwama

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeitaka Serikali kukamilisha upelelezi kwa wakati, kesi ya kusambaza taarifa za uongo inayomkabili Meya wa zamani wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob maarufu...

  9. Upelelezi kesi ya ‘Bwana Harusi’ bado ngoma mbichi

    Hakimu Magutu ametoa siku 30 nyingine kwa upande wa mashtaka kukamilisha upelelezi na ameahirisha kesi hiyo mpaka Machi 12, 2025, kesi hiyo.

  10. Kesi mbili za 'Boni Yai' na Malisa kuunguruma leo, moja ikitajwa 

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Jumatano Februari 12, 2025 inatarajia kuanza kusikiliza ushahidi katika kesi ya kuchapisha taarifa za uongo kwa lengo la kupotosha umma, inayomkabili Meya wa...

Previous

Page 13 of 114

Next