Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1159 results for Jesse Mikofu :

  1. PRIME Majura, Regina wasimulia safari yao na Charles Hilary

    “Alibarikiwa na kipaji kikubwa cha kutangaza, sauti yake ilikuwa na mvuto kwa kila kipindi, asingeweza kufanya kipindi iwe kwenye michezo au habari za kawaida ukashindwa kufurahia, au ukasikia...

  2. Charles Hilary kuzikwa Zanzibar Mei 14, hii hapa ratiba kamili

    Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) unatarajiwa kuzikwa Jumatano Mei 14, 2025 katika makaburi ya Mwanakwerekwe...

  3. TASNIA IMEPOTEZA: Sauti ya Charles Hilary ilikuwa kama dhahabu, Rais Samia amlilia

    Wakati aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zanzibar, Charles Hilary akifariki dunia, wadau mbalimbali wa sekta ya habari waliowahi kufanya kazi naye wamesema kifo chake ni pigo...

  4. Wananchi milioni 2.7 wafikiwa, migogoro 5,700 ikitatuliwa kampeni ya msaada wa kisheria

    Unguja. Wananchi milioni 2.72 wamefikiwa na kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia huku migogoro 5,704 ikitatuliwa katika mikoa 25 nchini. Kati ya hao wanawake ni milioni 1.3 na wanaume...

  5. Wawakilishi wang'aka bajeti kiduchu ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais

    Akiwasilisha Bajeti ya Makadirio Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais leo Mei 9, 2025 Waziri mwenye dhamana, Harusi Said Suleiman ameomba baraza lijadili na kuhidhinisha...

  6. Zanzibar, Msumbiji kuimarisha ushirikiano katika sekta za utalii, uvuvi na nishati

    Ushirikiano huu mpya unalenga si tu kukuza maendeleo ya pamoja, bali pia kuimarisha uchumi wa buluu kupitia sekta muhimu kama utalii, uvuvi wa bahari kuu, pamoja na mafuta na gesi.

  7. Sakata la RC na kadi za mpigakura latinga barazani, Serikali yajibu

    Sakata la Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrisa Kitwana, kuwataka wafanyakazi wa Serikali mkoani kwake wawasilishe kadi zao za mpigakura azikague, limeibukia Baraza la Wawakilishi, wakitaka...

  8. SMZ yaeleza hatua inazochukua kudhibiti mfumuko wa bei

    Wakati Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, ikiomba Baraza la wawakilishi kuidhinisha Sh120.89 bilioni mwaka 2025/26, Serikali imesema inaendelea kuchukua hatua mahususi kudhibiti mfumuko wa bei kwa...

  9. Mfumo wa malipo waliza watumishi wa umma, wawakilishi waingilia kati

    Licha ya Serikali kuanzisha Mfumo Jumuishi wa Taarifa za Utumishi na mishahara ili kuboresha utendaji na kupata takwimu sahihi za wanaolipwa mishahara, umetajwa kukabiliwa na changamoto huku...

  10. Baraza la Wawakilishi kufunga pazia, SUK na uchumi wa buluu vyatajwa

    Mkutano wa 19 wa Baraza la Wawakilishi, ambao ni wa mwisho katika kipindi cha Baraza la 10 chini ya uongozi wa Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, unatarajiwa kujikita katika kujadili bajeti ya...

Previous

Page 13 of 116

Next