Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1067 results for Peter Elias :

  1. Dk Nchimbi: Serikali ifanikishe upatikanaji wa masoko, pembejeo kwa wakulima

    Mtwara. Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ameielekeza Serikali kuhakikisha pembejeo za kilimo zinapatikana kwa wakati, kwa bei nafuu pamoja na masoko ya mazao ya wakulima yanapatikana. Dk...

  2. Dk Nchimbi asimulia alivyolipiwa ada na hayati Mkapa

    Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi amesimulia namna Rais wa awamu ya tatu, hayati Benjamin Mkapa alivyomuhamasisha kuendelea na masomo ya elimu ya juu na kumlipia ada ili kufanikisha jambo...

  3. Dk Nchimbi atua Mtwara, kutembelea kaburi la Mkapa

    Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amewasili Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kuanza ziara ya siku nne katika mikoa ya Mtwara na Lindi.

  4. PRIME VIDEO: Sungusia aeleza Kamati ya Maadili TLS inavyoingilia masilahi ya mawakili

    Sungusia aliyeingia madarakani Mei 2023, anatarajiwa kukabidhi kijiti kwa miongoni mwa wagombea watano ambao ni Ibrahim Bendera, Emmanuel Muga, Revocatus Kuuli, Paul Kaunda na Sweetbert Nkuba...

  5. Wadau watoa mitizamo, mapendekezo matukio ya utekaji Tanzania

    mtekaji? “Nadhani mmesoma gazeti moja la Mwananchi limeandika utekwaji, taharuki kubwa inazushwa katika jamii, kwamba Tanzania kuna kutekwa hovyo, niwahakikishie tu Tanzania, iko salama,” alisema...

  6. Alichosema Lissu kuhusu Mchungaji Msigwa kutimkia CCM

    Siku chache tangu Mchungaji Peter Msigwa kutimkia Chama cha Mapinduzi (CCM), Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu ameeleza kusikitishwa na uamuzi huo akisema: “Kwa kujiunga na...

  7. Wadau wahoji matumizi mikopo ya Serikali

    Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba alisema hadi Machi 2024, deni la Serikali lilikuwa zaidi ya Sh91.7 trilioni. Kati ya kiasi hicho, deni la nje ni Sh60.9 trilioni na deni la ndani ni Sh30.7...

  8. PRIME Shida ya maji inavyowanufaisha wengi

    Wananchi ambao hawajaunganishwa na mtandao wa maji mkoani Dar es Salaam wanapitia maumivu wakilazimika kupata huduma hiyo kwa gharama kubwa.

  9. Diwani azikwa aacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10

    Mamia ya wananchi wameshiriki maziko ya aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya mji wa Geita, Peter Kulwa (67) aliyefariki dunia Juni 13, 2024 na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10.

  10. Balozi Ruhinda afariki dunia

    Familia inaendelea na maandalizi ya mazishi na wanatarajia Balozi Ruhinda atazikwa Dar es Salaam, Jumatatu Juni 17, 2024

Previous

Page 13 of 107

Next