Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1132 results for Hadija Jumanne :

  1. Kilichojiri kesi ya wanaodaiwa kumuua mwanafamilia

     Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga Februari 26, 2025, kuwasomea hoja za awali (PH) Sophia Mwenda (64) na mwanaye, Alphonce Magombola(36) wanaokabiliwa na kesi ya mauaji.

  2. Kabaisa na wenzake, waomba mahakama itoe maelekezo kwa Serikali

    Washtakiwa tisa wanaokabiliwa na kesi ya kusafirisha kilo 332 za Heroine na Methamphetamine, wameomba Mahakama itoa maelekezo kwa Serikali waongeze kasi ili upelelezi wa shauri hilo ukamilike kwa...

  3. Wanaodaiwa kusafirisha tani moja bangi, wahoji upelelezi kuchelewa

    Washtakiwa hao wafikia hatua hiyo, muda mfupi baada ua upande wa mashtaka kudai kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.

  4. Bosi wa Jatu atoa ombi kortini, agomewa

    Gasaya anakabiliwa na mashtaka mawili ambayo ni kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya udanganyifu na kutakatisha kiasi hicho cha fedha, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

  5. Uchunguzi kesi ya jengo lililoporomoka Kariakoo bado

    Serikali imesema bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili wanaodaiwa kuwa ni wamiliki watatu wa jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la...

  6. Mchina matatani akidaiwa kujipatia Sh34.7 bilioni kwa upatu

    Raia wa China, Weng Jianjin amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka matatu, yakiwamo ya kukusanya na kuendesha biashara ya upatu na kujipatia Sh34.7 bilioni kwa...

  7. 12 kutoa ushahidi kesi ya kusafirisha binadamu kimagendo

    Serikali imesema kuwa inatarajia kuwa na mashahidi 12, watakaotoa ushahidi katika kesi ya kusafirisha binadamu kimagendo, inayomkabili raia ya Ufaransa, Michael Mroivili.

  8. Wawili kortini wakidaiwa kusafirisha kilo 58 za heroini

    Mkazi wa Salasala, Goodnees Remy(32) na raia wa Nigeria, Emmanuel Chigbo(42) maarufu kama Chasi, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka matatu ya...

  9. Aunganishwa na kaka yake kesi ya kughushi wosia

    Mkazi wa Jiji la Dar es Salaam, Nargis Omar(70) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka mawili ya kughushi wasio wa mama yake.

  10. PRIME Dk Slaa afikisha siku 28 rumande, kesi yake yapigwa kalenda

    Serikali imesema upelelezi katika kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika Mtandao wa X, inayomkabili wanasiasa mkongwe nchini, Willibrod Slaa (76), bado haujakamilika.

Previous

Page 14 of 114

Next