Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1263 results for Herieth Makwetta :

  1. Rais Samia aandika historia, kutunukiwa tuzo ya ‘The Gates Goalkeepers’ kesho

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kesho, Jumanne, Februari 4, 2025 anatarajiwa kupokea tuzo ya ‘The Gates Goalkeepers Award’ kama kielelezo cha matokeo makubwa ya kupunguza vifo vitokanavyo...

  2. Marekani yairuhusu PEPFAR kuendeleza huduma hizi…

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na Ukimwi (PEPFAR) umejumuishwa katika msamaha wa misaada ya kibinadamu ya kuokoa maisha wakati wa...

  3. PRIME Siasa za Trump, Elon Musk na hatima ya USAID

    Tukio hilo limeongeza hofu kwamba Trump, ambaye ameweka kizuizi karibu msaada wote wa kigeni, anapanga kupunguza kwa kiasi kikubwa au hata kulivunja kabisa Shirika la USAID.

  4. USAID yatangaza kusitisha misaada ya maendeleo nje ya Marekani

    Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.

  5. PRIME Watumishi ufadhili wa Marekani walia hofu kupoteza ajira

    Ni mtikisiko! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya sintofahamu kutawala miongoni mwa watumishi waliokuwa chini ya miradi ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID), wengi...

  6. PRIME Waviu 23,850 wabainika kuwa na VVU hatua ya juu

    Jumla ya watu 23,850 wanaoishi na VVU (Waviu) walifika katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini wakiwa katika hatua za juu za ugonjwa wa VVU na Ukimwi katika kipindi cha miezi sita, kuanzia...

  7. PRIME Magonjwa nyemelezi yanavyowatesa vijana wenye VVU

    Wakati dunia ikiadhimisha siku ya magonjwa yasiyopewa kipaumbele leo Januari 30, 2025 nchini Tanzania, hali ya waviu wasiotambua hali zao mpaka kufikia hatua ya kupata magonjwa nyemelezi (Ukimwi)...

  8. Trump asitisha ufadhili kabla ya kesi kusikilizwa

    Wakati Bara la Afrika likiwa kwenye mtanziko kuhusu kusitishiwa misaada ikiwemo dawa za ARV, malaria na kifua kikuu, utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump umeondoa agizo la kusitisha mikopo ya...

  9. Mlipuko wa virusi vya ebola wathibitishwa Uganda

    Wizara ya Afya Uganda, imethibitisha mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Ebola, ‘Sudan Ebola Virus Disease’ (SVD) jijini Kampala baada ya sampuli kuthibitishwa na maabara tatu za kitaifa.

  10. Muhimbili yapatiwa vifaatiba vya kisasa kurahisisha upasuaji

    Miongoni mwa vifaa hivyo vya kisasa ni pamoja na mashine inayomsaidia daktari wa upasuaji kuona kwa ufasaha mpaka vishipa vidogo vidogo na hivyo kupunguza madhara ya upasuaji kwa mgonjwa.

Previous

Page 14 of 127

Next