Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

696 results for Rehema Matowo :

  1. Wanunuzi waitaja TRA chanzo cha utoroshaji wa dhahabu

    Viongozi wa vyama vya siasa, wadau na wachambuzi wa masuala ya kisiasa na demokrasia nchini wamesema kilichotokea kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kunadhihirisha kosa...

  2. Aliyeomba rushwa ya Sh10,000 alipa faini ya Sh1 milioni, kukwepa kifungo

    Geita. Aliyekuwa Ofisa Tabibu wa Kituo cha Afya Nyarugusu katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Paul Ng-wandu amekwepa kwenda jela kutumikia kifungo cha mwaka mmoja baada ya kulipa faini ya Sh1...

  3. Dk Biteko azindua kituo cha kupokea, kupooza umeme GGML

    Geita. Mgodi wa Uchimbaji Madini ya Dhahabu wa Geita (GGML), umeandika historia baada ya kuanza kutumia umeme wa gridi ya Taifa kwa mara ya kwanza kutokana na kukamilika kwa ujenzi wa kituo cha...

  4. Askofu Kassala aishauri Tume ya Rais ya kodi

    Askofu wa Jimbo Katoliki Geita, Flavian Kassala ameiomba Serikali kuhakikisha inawashikilisha viongozi wa dini katika kutathimini na kushauri kuhusu masuala ya kodi ambayo ni maumivu kwa wananchi...

  5. PRIME Suala la Wenje, Lissu ‘kutikisa’ Kamati Kuu Chadema

    Kikao hicho pia kinatarajiwa kuwa na mjadala mzito kuhusu nafasi ya Lissu na uwezo wa Wenje katika kuongoza chama.

  6. Wanachama Chadema wafunguka Wenje kutaka nafasi ya Lissu

    Wenje ambaye ni mwenyekiti wa Kanda ya Victoria Chadema, ametangaza kuwania nafasi ya makamu mwenyekiti wa chama hicho bara ambayo kwa sasa inashikiliwa Tundu Lissu

  7. PRIME Wizi wa miradi ya Serikali Geita, Shinyanga, Katavi, Singida, Mtwara balaa

    Imeelezwa kuwa kukosa uwajibikaji huko, amesema kunawafanya wengi washindwe kusimamia bajeti kama ilivyotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi.

  8. Madereva magari ya Serikali wanaoendesha kibabe barabarani sasa kukiona

    Jeshi la Polisi mkoani Geita kupitia kitengo cha Usalama Barabarani, limewatahadharisha madereva wanaoendesha magari ya Serikali kuacha kutumia mwavuli wa kuwa madereva wa Serikali kama...

  9. Takukuru kuchunguza upotevu vifaa vya ujenzi Hospitali Katoro

    : Naibu Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Geita, Alex Mpemba amesema katika ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo, wamebaini baadhi ya vifaa licha ya kununuliwa na kupokewa havijatumika kwenye...

  10. Mama mbaroni akituhumiwa kunyonga kichanga, chakatwa mkono, mguu

    Mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na umri wa miezi miwili amekutwa ameuawa kwa kunyongwa kisha kukatwa mkono na mguu, vyote vya upande wa kulia, kutupwa shambani.

Previous

Page 14 of 70

Next