Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1159 results for Jesse Mikofu :

  1. ‘Uvuvi wa kutumia tanga na mti, unaharibu matumbawe’

    Wakati wavuvi wadogo wakitakiwa kuachana na uvuvi haramu, kuhifadhi mazingira ya bahari, wamesema uvuaji wa kutumia tanga na mti unachangia kuathiri matumbawe chini ya bahari, hivyo kuiomba...

  2. Afariki dunia, mwingine ajeruhiwa wakiiba nyaya za umeme

    Tukio hilo limesababisha zaidi ya maeneo 14 yameathiriwa kwa kukosa umeme wakati Shirika la Umeme Zanzibar likiendelea na jitihada kurejesha hali ya kawaida.

  3. Amani ya kweli haiji bila haki- Askofu Chambala

    Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Kiteto, Isaya Chambala amesema amani ya kweli haiji bila haki, huku akiwataka viongozi wanapohubiri amani kukumbuka kutenda haki.

  4. Sh13 bilioni kuendeleza mabonde ya mpunga Zanzibar

    Katika jitihada za kuhakikisha Zanzibar inajitegemea kwa chakula, umeandaliwa mradi wa kuendeleza mabonde ya mpunga ambao utatumia Dola za Marekani 5.153 milioni sawa na (Sh13.8 bilioni).

  5. Tuzo za umahiri sasa kutolewa Zanzibar

    Kwa mara ya kwanza Zanzibar imeandaa tuzo za umahiri katika mawasiliano ambazo zitashirikisha waandishi wa habari kutoka ndani na nje ya nchi.

  6. Masheha, watendaji walaumiana uchimbaji holela mchanga, mawe

    Wakati Wizara ya Maji, Madini na Maliasili Zanzibar ikidai masheha ndio wanawajibika kulinda mali zisizohamishika, wao wamesema baadhi ya watendaji wa wizara ndio wanaoshirikiana na watu...

  7. Magonjwa yasiyoambukiza bado mfupa mgumu

    Waziri wa Afya Zanzibar, Ahmed Nassor Mazrui amesema utafiti uliofanywa na wizara hiyo kwa kushirikiana na taasisi nyingine, kuhusu viashiria hatarishi na ufuatiliaji wa hali ya magonjwa...

  8. CCM, Zaeca kushirikiana kuwabana  watoa rushwa kwenye mchakato wa uchaguzi

    Kila jimbo kimeanza kuweka watu wa maadili wa chama hicho kwa kushirikiana na Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi (Zaeca).

  9. Othman rasmi kumvaa Mwinyi Uchaguzi mkuu

    Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud amechukua fomu ya kugombea Urais kupitia chama hicho katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

  10. CCM Zanzibar yatoa onyo kwa watia nia kabla ya muda

    Unguja. Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, kimesema hakitamvumilia mwanachama yeyote ambaye ataanza kujipitisha majimboni na kuanza kupiga kampeni kabla ya wakati. Naibu Katibu Mkuu wa CCM...

Previous

Page 16 of 116

Next