Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

587 results for Elias Msuya :

  1. PRIME Odero: Nimetumwa na mbingu kugombea uenyekiti Chadema

    Mpaka sasa kuna wagombea watatu wa uenyekiti Chadema katika uchaguzi utakaofanyika Jumanne Januari 21, 2025 jijini Dar es Salaam, akiwamo Mwenyekiti Freeman Mbowe na makamu wake Tundu Lissu...

  2. Kelele za rushwa zaibua wadau

    Kukithiri kwa vitendo vya rushwa nchini kunatajwa kuwa tatizo mtambuka linalogusa malezi, kukosa hofu ya Mungu, na ukosefu wa masilahi kazini.

  3. PRIME ACT Wazalendo na usemi aungurumapo papa baharini na wengine wapo

    Katika mahojiano maalumu na Mwananchi wiki hii, Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, Issihaka Mchinjita anaeleza mikakati ya chama hicho kushinda chaguzi na hatimaye kushika Dola.

  4. PRIME Lema ataja kiini cha tatizo Chadema, Mnyika azungumza

    Ni dhahiri Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinapitia kwenye nyakati ngumu zinazotishia mustakabali wa chama hicho kikuu cha upinzani nchini.

  5. PRIME Miaka 10 ya Eyakuze Twaweza: Safari ya milima na mabonde

    Baada ya miaka 10 ya milima na mabonde katika ushawishi wa sera na kusikiliza sauti za wananchi, sasa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Twaweza East Africa, Aidan Eyakuze anastaafu.

  6. PRIME Walichokisema Mbowe, Lwaitama ukomo wa madaraka Chadema

    Hoja ya ukomo wa madaraka ambayo kwa miaka mingi ilikuwa inazungumzwa nje ya Chadema, iliibuliwa upya na Lissu alipotangaza kugombea uenyekiti wa Desemba 12, 2024 jijini.

  7. PRIME Utitiri wa Wachina kila kona ni fursa au janga?

    Kwa mujibu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), hadi Februari 2024, China imeshasajili miradi 1,274 yenye thamani ya Dola 11.4 bilioni, ikilenga kuzalisha ajira 149,759, ikiwa ni matunda ya...

  8. Nafasi ya Mbowe uchaguzi wa mwenyekiti Chadema

    Mbowe anabebwa na historia nzuri ndani ya Chadema ya kukitoa chama hicho kutoka kuwa chama kidogo hadi chama kikuu cha upinzani nchini.

  9. Mbowe amkazia Tundu Lissu

    Hatimaye Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ametangaza rasmi kuitetea nafasi hiyo aliyoitumikia kwa miaka 20, akisema anawania miaka mitano kwa mara ya mwisho na kufunga rasmi mjadala kuwa...

  10. PRIME Sababu Jeshi la Polisi kutajwa 10 bora Afrika

    Jeshi la Polisi la Tanzania limetajwa kuwa miongoni mwa majeshi bora 10 ya Afrika kwa kwa kutumia weledi na kuheshimu haki za wananchi.

Previous

Page 3 of 59

Next