Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

886 results for Florah Temba :

  1. Malasusa ataka Watanzania kuwa wasikivu kuelekea uchaguzi mkuu

    Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Malasusa, amesisitiza kuwa katika kipindi hiki cha kuelekea uhaguzi mkuu, Watanzania wanapaswa kuwa wasikivu na kusikiliza kwa...

  2. Kikwete asimulia Msuya alivyoshiriki mageuzi ya kiuchumi Tanzania

    Kwa mujibu wa Kikwete, wakati huo chama kilikuwa kimeshika hatamu, na hivyo sera na mipango yote ya Serikali ililazimika kupitishwa na CCM kabla ya kutekelezwa.

  3. Tulia ashindwa kuimba wimbo wa mbingu, Kikwete akumbuka ‘lifti’ ya Msuya

    Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ameeleza sababu ya kutouimba wimbo wa “Moyo Wangu Una Furaha ya Kwenda Mbinguni” katika mazishi ya aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, Cleopa Msuya,...

  4. Malasusa: Viongozi tusikilize na kunyenyekea tunaowaongoza

    Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa, amesema kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais mstaafu, Cleopa Msuya, alikuwa kiongozi mwenye kipawa cha...

  5. Mtoto wa Cleopa Msuya: Baba alitaka kijengwe Chuo Kikuu Mwanga

    Jobu Msuya ambaye ni mtoto wa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu, Cleopa Msuya, ameeleza jinsi ambavyo baba yake alivyowakutanisha katika siku yake ya kuzaliwa mwaka huu na kueleza matumaini...

  6. Rais Samia awasili Usangi kuongoza mazishi ya Msuya

    Mwanga. Rais Samia Suluhu Hassan amewasili katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Usangi Kivindu kushiriki ibada ya mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na...

  7. Msuya aagwa, viongozi wa dini waonya rafu za uchaguzi

    Wakati mwili wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya, ukiagwa katika viwanja vya CD Msuya, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro, viongozi wa dini wameonya rafu...

  8. Mwili wa Cleopa Msuya wapokewa KIA, kuagwa Mwanga

    Mwili huo ambao umebebwa na ndege ya Shirika la Air Tanzania umetua katika uwanja huo wa ndege saa 8:20 asubuhi ambapo baada ya kushushwa kwenye ndege umebebwa na askari wa Jeshi la Wananchi wa...

  9. Makada 58 Kilimanjaro waitosa Chadema, wamtaja Ndesamburo 

    Viongozi 58 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro, akiwamo Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa, Gervas Mgonja wametangaza kujivua uanachama wa chama hicho leo Mei 11...

  10. Grace Kiwelu, Mgonja, Kilawila, Rachael wajiondoa Chadema

    Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro akiwemo Mwenyekiti wa chama hicho, Gervas Mgonja, wametangaza kujivua uanachama wa chama hicho kuanzia leo...

Previous

Page 3 of 89

Next