Search

671 results for Florah Temba :

  1. Askofu Shoo akemea dhuluma, ataka masilahi ya walimu, madaktari kuangaliwa upya

    “Sijasikia sana wabunge wetu wakitetea mambo ya walimu, kwamba walimu jamani waongezewe mishahara na nini, hawa wanatoa mchango mkubwa kwa ujenzi wa Taifa letu, wanawaangalia watoto wetu ndugu...

  2. Mwanafunzi kidato cha sita amjeruhi mwalimu kwa chepe kichwani

    Tukio hilo lilitokea usiku wa Machi 25, 2024 wakati mwalimu huyo aliyetambulika kwa jina moja la Matendo, alipokuwa akizunguka kukagua wanafunzi waliokuwa wanajisomea usiku.

  3. Ulevi wakithiri Moshi, vijana wadaiwa kushindwa kuoa

    Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Kibosho, Padri Beatus Vumilia imefika mahali jamii imeshindwa kujitawala na kutawaliwa na pombe

  4. Dk Mpango ashangaa ujenzi hospitali kusimamiwa na mhandisi wa kilimo

    “Leo ndiyo nimesikia kwa mara ya kwanza mhandisi kilimo ndiye anasimamia majengo, hapana. Kauli ya Makamu wa Rais aliyoitoa kwa mshangao leo.

  5. Dk Mpango akerwa ujenzi Hospitali ya Mwanga, atoa maagizo kwa Tamisemi

    Makamu wa Rais amesema hayo, leo Alhamisi Machi 21, 2024 wakati akizungumza na wananchi wa Mwanga, katika stendi ya mabasi wilayani humo, baada ya kutoka kutembelea na kukagua ujenzi wa hospitali...

  6. Maji yaweka rehani kibarua cha makamu wa Rais

    Watendaji wa Wizara ya Maji wametakiwa kutimiza wajibu wao ikiwamo kuwasimamia makandarasi na wataalamu wanaotekeleza mradi wa maji wa Same – Mwanga - Korogwe

  7. Hatimaye mwili wa mwanafunzi Moshi wazikwa

    Ni mwanafunzi anayedaiwa kufariki dunia kutokana na kipigoa cha mwalimu

    New Content Item (1)
  8. Watumishi Moshi wafundwa madhara ya dhuluma

    Wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia misingi ya haki, kutowakandamiza wanaowaongoza

  9. Mazishi mwanafunzi anayedaiwa kufa kwa kipigo yashindikana

    Hata hivyo, licha ya maandalizi kufanyika ikiwemo kuchimbwa kaburi na watu kukusanyika hadi leo jioni, maziko hayo hayakufanyika.

  10. PRIME Serikali inavyokabili upatikanaji gesi kwenye magari

    Unaweza kusema hatua hii itapunguza kiu ya wengi, baada ya Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Petroli Tanzania (TPDC), Mussa Makame kueleza uwepo wa vituo vya gesi ya kwenye magari (CNG) vitano...

Previous

Page 3 of 68

Next