Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1129 results for Hadija Jumanne :

  1. Ofisa Habari wa Timu ya KenGold, 'chupuchupu' kwenda jela kwa kuomba rushwa mchezaji

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu, Ofisa Habari na Mawasiliano wa Timu ya Mpira wa Miguu ya KENGOLD Sport Club, Joseph Mkoko(34), kulipa faini ya Sh1 milioni au kwenda jela miaka miwili...

  2. Bosi wa Jatu 'amwangukia tena DPP'

    Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya JATU PLC, Peter Gasaya ( 33) anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, amemwandika barua Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP), akiomba kukiri...

  3. Kesi za Lissu leo, mojawapo kusomwa maelezo yake

    Kesi mbili ikiwemo ya kuchapisha taarifa za uongo mitandaoni zinazomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo Jumatatu, Mei 19, 2025 zitaunguruma katika...

  4. Shahidi adai mama alikwenda kwa sangoma kumpumbaza bintiye

    Mwenda, mkazi wa Mbagala anadaiwa kushirikiana na mtoto wake wa kiume, kumuua Beatrice Magombola, ambaye ni binti yake wa kwanza wa kumzaa.

  5. Mtathimini adai mazao yaliyoharibiwa yalikuwa ya Sh33 milioni

    Mtathimini Gregory Mwampule (69) ameieleza mahakama kuwa hasara ilitokana na uharibifu wa mazao yaliyowekezwa katika kiwanja alichopewa, Askofu John Sepeku ilikuwa Sh33 milioni.

  6. Upelelezi kesi ya 'Dk Manguruwe' wapigwa kalenda

    Kwa mujibu wa hati ya mashitaka, kati ya mashtaka hayo 28, mashtaka 19 ni ya kuendesha biashara ya upatu na tisa ni ya kutakatisha viwanja.

  7. Afya ya hakimu yakwamisha kesi ya kughushi msamaha wa Rais 

    Shauri lilipoitwa, mwendesha mashitaka Wakili wa Serikali, Edgar Bantulaki ameieleza mahakama wana mashahidi wanne na wako tayari kuendelea na usikilizwaji. Wakili wa utetezi nao pia walikuwa...

  8. Kesi kuporomoka jengo Kariakoo yaendelea kupigwa kalenda

    Kwa pamoja wanakabiliwa na mashitaka 31 ya kuua bila kukusudia katika kesi ya mauaji iliyopo mahakamani hapo.

  9. Kesi ya Boni Yai, yaendelea kupigwa kalenda

    Upelelezi wa kesi ya kusambaza taarifa za uongo inayomkabili meya wa zamani wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob, haujakamilika.

  10. Ushahidi mama alivyomuua mwanawe, asiende kutoa ushahidi

    Ushahidi huo umeeleza katika maelezo ya onyo aliyoyatoa katika Kituo cha Polisi Oysterbay, Sophia alikiri kuhusika na mauaji hayo.

Previous

Page 3 of 113

Next