Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1267 results for Herieth Makwetta :

  1. Madaktari wataka mwelekeo bima kwa wote, Serikali yatoa agizo

    Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimeitaka Serikali kutekeleza kwa umakini Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote, ili kuwe na ubora wa huduma za afya kwa Watanzania wote katika upatikanaji, unafuu na...

  2. PRIME Kibarua kinachomsubiri Dk Kimambo Muhimbili

    Dk Kimambo ambaye ameteuliwa kushika nafasi hiyo kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana Juni 16, 2025 na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Moses Kusiluka awali, kabla ya uteuzi huo alikuwa akifanya...

  3. PRIME Huyu ndiye Dk Delilah Kimambo, Mkurugenzi mpya wa Muhimbili

    Dk Kimambo anachukua nafasi Profesa Mohammed Janabi ambaye alichaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika Mei 18 na kula kiapo Mei 28,2025.

  4. Wazazi ‘ubize’ na simu unavyoathiri malezi, makuzi ya mtoto wako

    Hali imetajwa kuwa inaweza kuathiri maendeleo ya lugha kwa watoto wadogo, kwa kuwa wao hupata ujuzi wa lugha kupitia mazungumzo ya ana kwa ana, hivyo simu huchukua nafasi hiyo na kuchelewesha...

  5. PRIME Tumia njia hii kupata mtoto wa kike, kiume

    Dar es Salaam. Kila mzazi ana matamanio ya kumpata mtoto wa jinsi aipendayo awe wa kike au wa kime na wengi huhoji atafanyaje. Wataalamu wa afya wametaja mbinu za kisayansi za kupata mtoto wa...

  6. PRIME Wanasheria, madaktari wataja hatari punguzo tozo ya 'energy drink'

    Wanasheria na wataalamu wa afya wameitaka Serikali kufuta pendekezo la punguzo la kiwango cha ushuru wa bidhaa kwenye vinywaji vya kuongeza nguvu 'energy drink' wakisema ni kinyume cha Katiba ya...

  7. Vyanzo vinane kuchangia bima kwa wote VVU/Ukimwi

    Serikali katika mwaka 2025/2026 imependekeza kuanzisha vyanzo vya mapato vinane kwa ajili ya kudhibiti maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) na kugharimia bima ya afya kwa wote.

  8. Ushuru kwa ‘energy drink’ kupungua

    Ushuru wa bidhaa ya vinywaji hivyo vinavyozalishwa ndani ya nchi, imepungua kutoka Sh561 kwa kila lita hadi Sh134.2 kwa kila lita.

  9. PRIME KUELEKEA BAJETI KUU: Rasilimali asili zichangie Mfuko wa Bima ya afya kwa wote

    Hata hivyo, amedai bado kuna wasiwasi kutokana na uchumi wa nchi kuwa chini na hata rasilimali za nchi hazitoshi kuendesha kikamilifu.

    New Content Item (1)
  10. Ukatili dhidi ya watoto wapungua Tanzania - Utafiti

    Ni ukatili wa kingono, kimwili na kihisia kwa kundi la watoto wa miaka 13 hadi 24, ambao matokeo yameonyesha umepungua nchini ikilinganishwa na utafiti kama huo uliofanyika miaka 15 iliyopita.

Previous

Page 3 of 127

Next