Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

902 results for Janeth Mushi :

  1. Aliyekutwa akisafirisha bangi kilo 216 jela maisha

    Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi Masijala Ndogo ya Morogoro, imemuhukumu kifungo cha maisha, Damas Makenza baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusafirisha dawa za...

  2. Madaktari wataka mwelekeo bima kwa wote, Serikali yatoa agizo

    Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimeitaka Serikali kutekeleza kwa umakini Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote, ili kuwe na ubora wa huduma za afya kwa Watanzania wote katika upatikanaji, unafuu na...

  3. Afrika yapoteza Sh216.8 trilioni kwa ufisadi

    Arusha. Licha ya juhudi za mapambano dhidi ya rushwa barani Afrika, nchi za Afrika zinakadiriwa kupoteza kati ya Dola za Marekani 20 hadi 80 bilioni (Sh216.8 trilioni) mwaka kutokana na...

  4. Kauli ya Polisi sakata la Mchungaji aliyetekwa Arusha

    Ikiwa zimepita siku 33 tangu Mchungaji wa Kanisa la Huduma ya Kristo, Steven Jacob (35) ,kutekwa na watu wasiojulikana na baadaye kuokolewa na walinzi wa mashamba ya ngano mkoani Kilimanjaro...

  5. Uwanja wa Ndege wa Arusha waanza kupokea ndege ndogo za kimataifa

    Hiyo inatajwa kuwa fursa kwa wafanyabiashara, watalii kutoka nje ya nchi kupunguza gharama na kupoteza muda mwingi ambapo safari hizo hizo zimeanzia kwa ndege ndogo ambapo uwanja huo unaendelea...

  6. NeST yatajwa kuleta matunda, Serikali yatoa maagizo

    Mafanikio mengine yaliyochangiwa na mfumo huo yanatajwa kuwa ni pamoja na uboreshaji wa mazingira na kupungua kwa gharama za kufanya manunuzi kwa wazabuni na Serikali.

  7. PRIME Mahakama ya Rufani yaamuru sheria ya haki za kiraia irekebishwe

    Mahakama ya Rufani imeelekeza ndani ya miezi 12 (mwaka mmoja) Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lirekebishe kwa kufuta vifungu vya 6 na 7 vya Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.

  8. PRIME Dosari kisheria zamtoa jela maisha baba wa kambo

    Dosari za kisheria zimesababisha Hamisi John kuepa adhabu ya kifungo cha maisha jela alichohukumiwa baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumbaka mtoto wake wa kambo wa miaka saba.

  9. Kikwete: Tutumie takwimu sahihi, teknolojia kupambana na umaskini

    Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kutumia takwimu sahihi na teknolojia za kisasa, hususan katika sekta ya kilimo, ili kuwezesha uundaji wa sera madhubuti...

  10. PRIME Chaumma yawaweka kati CCM, Chadema

    Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na wale wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ‘wamevutana’ juu ya baadhi ya makada wa Chadema kutimkia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma).

Previous

Page 3 of 91

Next