Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

93 results for Nkwazi Mhango, Canada :

  1. PRIME FYATU MFYATUZI: Tunashangaa, tunashangazwa na kushangaza

    Huwa nashangaa. Sijui kama nawe hushangaa kushangaza? Kama hushangai, unashangaza. Kama unashangaa, pia, unashangaza. Hata nami nashangaza kwa kushangaashangaa bila kufyatua. Huwa nashangaa kwa...

  2. PRIME KONA FYATU MFYATUZI: Sasa Kanji nafyatuka nageuka fyatu dugu

    Nalala naota Tanjania. Baada ya peleka faida, sasa narudi tafuta faida nyingine.

  3. PRIME KONA YA FYATU MFYATUZI: No reforms, no elections ilhali tushageuzwa, kuchakachuliwa!

    Mnategemea mafyatu waliofyatuliwa wakafyata wafyatuke watekwe na kupotezwa? Nani afyatuke afyatuliwe shaba kama Tunda Lishe?

  4. PRIME Ndoa yako imejengwa kwa nguzo ngapi?

    Ili daraja lifae, kuwa na nguvu, lihimili mikiki, na kutumika, lazima nguzo mbili zisimame pamoja na kutegemeana ili kufanikisha umuhimu wa kuwapo daraja.

  5. PRIME Kongole Rais Donnie Taramp kuonyesha njia

    Mpendwa Donie, Kwanza nikusalimu na kukupa kongole kwa kuukwaa unene uzeeni. Hivi, kweli jioni huwa unakumbuka yale uliyosema asubuhi?

  6. PRIME KONA YA FYATU MFYATUZI: Kongole Chakudema, CcM kwa kufyatuana

    Yule fyatu alidai kuwa Chakudema wangezengua na kufyatuana japokuwa, kabla ya kuhitimisha, walivuana nguo bila sababu za msingi halafu wakasema hiyo ni demokrasia wakati ni ghasia! Hayo tuyaache.

  7. KONA FYATU MFYATUZI: Hamisheni mafisi, mafisadi, si akina Yero

    Kama haiwezekani kutokana na unene wao basi, hamisha waanimo. Tunakosa ubunifu hadi kuzidiwa na wahalifu kama Chauda mpigaji ambaye ameng’ang’ania kwetu kwa kuogopa kurejeshwa kwao akasote!

  8. FYATU MFYATUZI: Sera yangu ni unyigu, unyuki na usiafu

    Nadhani mmemaliza mwaka kwa kushuhudia wenzangu kwenye vyama vya siasia wakimenyana kugombea ulaji. Kwenye chama chetu cha mafyatu na si cha siasa, huwa hatugombei ulaji. Ukishawaingiza laini...

  9. Kudumisha asili uchafu na uhayawani vinavyovunja ndoa

    Kuna jamii zina mila na tabia chafu miongoni mwetu. Leo, tutawaonya wanandoa na watarajiwa kuzidurusu na kuzitahadhari na kuziepuka hata kama zimezoeleka kwao, zina faida nazo au wanazikubali...

  10. PRIME KONA YA FYATU MFYATUZI: Wabongo tunarogwa na dini zetu wenyewe

    Baada ya kurogwa na kurogeka vilivyo, ghafla, tuliitwa na kuitana si majina ya kigeni tu bali hata matusi. Mara tuitwe washenzi, wenye dhambi, waliopotea, na wasio na maana wala ustaarabu.

Previous

Page 3 of 10

Next