Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

696 results for Rehema Matowo :

  1. Baba aliyemuua mwanawe kisa kuchelewa kutembea, jela miaka 15

    Ripoti ya uchunguzi wa kifo hicho ilibaini kuwa chanzo cha kifo kilikuwa ni kukosa hewa baada ya kunyongwa.

  2. Wanawake walia masharti magumu mikopo halmashauri

    Moja ya masharti hayo ni la kuwataka wanakikundi wanaoomba mkopo kutoka kwenye mtaa mmoja, jambo ambalo limekuwa gumu kwa wajasiriamali wanawake na vijana.

  3. Ripoti ya CAG yabaini upungufu katika usimamizi wa data za elimujiolojia nchini

    Ripoti ya ukaguzi wa utendaji kuhusu usimamizi wa data za kielimujiolojia katika sekta ya madini nchini imebaini mapungufu makubwa katika ukusanyaji, uchambuzi, uhifadhi na usambazaji wa taarifa...

  4. Padri Kusekwa ‘awauma’ sikio viongozi wa kisiasa

    Padri Albert Kusekwa wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu Jimbo Katoliki la Geita, amewataka viongozi wa kisiasa, kijamii na kidini kusimama imara katika kutetea ukweli...

  5. Jela miaka mitano kwa kummwagia mtoto chai ya moto

    Mahakama ya Wilaya ya Geita imemuhukumu kifungo cha miaka mitano jela, pamoja na kulipa faini ya Sh1 milioni baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumjeruhi mtoto mwenye umri wa miaka saba kwa...

  6. Wawili washikiliwa kwa kujifanya askari polisi Geita

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kujifanya maofisa polisi na kuchukua kiasi cha Sh25,000 kutoka kwa mwananchi.

  7. Shigella: Kampuni za madini zinalazimika kuiuzia BoT asilimia 20 ya dhahabu

    Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigella amezitaka kampuni kubwa za uchimbaji madini zinazofanya kazi mkoani humo kutii sheria inayozitaka kutenga asilimia 20 ya dhahabu inayozalishwa na kuiuza kwa...

  8. Kauli ya RPC Geita kuhusu ukamataji yawaibua wadau wa haki jinai

    Kamanda Jongo alisisitiza kuwa kitendo cha polisi kumkamata raia bila kujitambulisha na kutoa kitambulisho halali, ni kinyume cha sheria na huenda ikawa mbinu ya kuficha vitendo vya kihalifu.

  9. VIDEO: Wananchi wapewa mbinu kukabiliana na polisi wanaokamata watu ‘kihuni’

    Jeshi la Polisi mkoani Geita limetoa wito kwa wananchi kutokubali kukamatwa na mtu yeyote anayejitambulisha kama askari polisi bila kuonyesha kitambulisho cha utumishi na kueleza kituo cha polisi...

  10. Wajasiriamali wapatiwa mafunzo ya kurasimisha biashara

    Geita. Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) mkoa wa Geita imewataka wafanyabiashara na wajasiriamali kuacha kulalamika kuhusu changamoto za kiuchumi badala yake wachangamkie fursa...

Previous

Page 3 of 70

Next