PRIME Mtatiro atia neno ‘Golden Standard’ uchaguzi wa Chadema Ukweli ni kwamba, mmefanya uchaguzi wenu na kumaliza salama na mshindi ametangazwa!
Dorothy ajitosa kupambana na Samia Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu ametangaza nia ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu, akitaja mambo manne yaliyomsukuma kuitaka...
PRIME CUF yamtimua Mbunge wake, mwenyewe asema… Chama cha Wananchi (CUF), kimemfuta uanachama mbunge wake wa Mtambile visiwani Pemba, Seif Salim Seif kwa kile kilichodaiwa amekisaliti chama hicho na kukiunga mkono chama tawala cha CCM.
PRIME Mbowe, Lissu wanavyoipitisha Chadema mstari wa kifo majaribio mawili makubwa. La kwanza ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti (Tanzania Bara), Chacha Wangwe kukusudia kumng’oa Mbowe kwenye uenyekiti. Kipindi hicho Mbowe alikuwa na muhula mmoja ofisini.
Ngoma kumi bora kwa Zitto Kabwe 2024 Kama ilivyo kawaida kwa baadhi ya watu mashuhuri, kila ifikapo mwisho wa mwaka huachia orodha ya ngoma walizopenda kusikiliza kwa mwaka mzima
PRIME Mbio za uenyekiti za Mbowe, Lissu zinavyoigawa Chadema Uamuzi wa Tundu Lissu kukusudia kuchuana na Freeman Mbowe katika kinyang'anyiro cha uenyekiti wa Chadema, umekigawa chama hicho pande tatu huku sababu za Lissu kuamua kuchukua hatua hizo...
PRIME Uchaguzi serikali za mitaa, ‘muziki’ wa vyama vitatu Wakati kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zikifikia kilele kesho, vyama vitatu vya CCM, Chadema na ACT Wazalendo vimeonyesha ushindani mkali kwenye maeneo vilivyosimamisha wagombea.
PRIME Vigogo wajitosa kampeni uchaguzi serikali za mitaa Wakati kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zikiingia siku ya tano leo, vigogo wa vyama mbalimbali vya siasa vikiwemo vya upinzani wamejitosa kushiriki na kuongeza nguvu.
Viongozi wanavyokimbizana na ratiba ngumu ya kampeni ya chama hicho tawala. “Katika uchaguzi huu wa serikali ya mitaa, vijiji na vitongoji tutashinda kwa kishindo, kwa namna chama kilivyojipanga ni sawa na kusema yajayo yanafurahisha,” amesema.
Mchuano wa sera vyama vikitafuta kura za viongozi Kampeni za uchaguzi wa Serikali za mitaa zimeendelea katika mitaa, vijiji na vitongoji kwenye mikoa mbalimbali nchini zikiongozwa na viongozi na watendaji wakuu wa vyama vya siasa