Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

91 results for Ananias Khalula :

  1. Mradi wa umeme Rusumo kuzinduliwa Februari, 2025

    Baada wa uzinduzi wa mradi wa umeme Rusumo utakaonufaisha nchi za Tanzania, Rwanda na Burundi kuwa kimya kwa zaidi ya mwaka, Mawaziri wanaohusika na nishati kutoka nchi hizo wamekubaliana...

  2. Waziri asimulia alivyosotea hati ya ardhi kwa miaka mitatu

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kuboresha utaoji huduma wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ili litende haki wakati wa usuluhishi wa migogoro na...

  3. Mtoto mchanga auawa, anyofolewa viungo, ‘bibi wa kambo’ ahusishwa

    Mtoto mchanga, Antidius Avitus (miezi minne) amekutwa amefariki dunia na baadhi ya viungo vya mkono wake vikiwa vimenyofolewa huku bibi yake wa kambo akihusishwa.

  4. Sintofahamu kifo mgombea Chadema, Polisi yafafanua

    Jeshi la Polisi nchini limesema taarifa za kuuawa kwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wilayani Missenyi mkoani Kagera, Joseph Remigius (52) si za kweli na zinalenga...

  5. Mwalimu mbaroni akidaiwa kumuua mwanafunzi kwa kichapo

    Chatanda ametoa wito kwa wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi badala yake kufuata taratibu na sheria.

  6. Baba mzazi mbaroni akidaiwa kufukua kaburi la mwanaye

    Baba mzazi wa mtoto wa mwaka mmoja, Faston Innocent anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kufukua kaburi la mwanaye huyo na kuweka jeneza likiwa na mwili mlangoni mwa nyumba ya babu yake.

    New Content Item (1)
  7. Mwili wa mtoto aliyezama akiogelea Ziwa Victoria wapatikana

    Mwili wa mtoto Rwegasira Jackson (14), aliyezama akiogelea Ziwa Victoria katika fukwe za Gymkana, Manispaa ya Bukoba, Mkoa wa Kagera, umepatikana kando mwa Mwalo wa Bunena ukiwa umeharibika.

  8. Kaburi la mtoto lafukuliwa, jeneza lawekwa  mlangoni mwa nyumba ya babu yake

    Ni tukio la kushangaza. Ndivyo unavyoweza kuelezea kile kilichotokea katika familia ya Venant Zabron (52), Mkazi wa Kahinga, Kata Bugomola, wilayani Kyerwa, Mkoa wa Kagera baada ya kaburi la...

  9. Ushahidi waeleza Padri Rwegoshora alimuahidi ‘shangingi’ baba wa Asimwe

    Upande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji ya mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath (2) umewasilisha maelezo ya ushahidi katika hatua ya awali, ukieleza utakuwa na mashahidi 52 na vielelezo 37.

  10. Viboko Mto Mwiruzi wageuka tishio Biharamulo

    Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Msekwa wilayani Biharamulo wananchi wameacha kujishughulisha na kilimo badala yake wanashinda nyumbani

Previous

Page 4 of 10

Next