Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

884 results for Florah Temba :

  1. TaCRI yapata aina tatu mpya za Arabika zitakazokabiliana na ukame

    Moshi. Taasisi ya utafiti wa Kahawa nchini (TaCRI) imegundua aina mpya tatu za kahawa aina ya Arabika yenye uwezo wa kuvumilia hali ya ukame, ikiwa ni moja ya mikakati ya kukabiliana na...

  2. TRA yapata mwarobaini wa msongamano magari Holili

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kilimanjaro, inakusudia kuweka mashine maalumu ya ukaguzi wa mizigo katika magari mpaka wa Holili.

  3. Askofu Shoo ataka mambo manne kuelekea uchaguzi Mkuu

    Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo amesisitiza maridhiano, uchaguzi huru na haki na uamuzi wa wananchi katika uchaguzi...

  4. Wananchi Moshi walia mkandarasi kuelekeza maji katika makazi yao, wafunga barabara

    Baadhi ya wananchi wa Kata ya Mabogini, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia mkandarasi anayejenga barabara eneo la Spenconi kuelekeza mitaro ya maji katika maeneo yao hali...

  5. Kamanda Mwakyoma aagwa Kilimanjaro, kuzikwa kesho Mbeya

    Mwili wa Kamanda mstaafu wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Absalom Mwakyoma umeagwa leo Alhamisi, Aprili 10, 2025 nyumbani kwake mjini Moshi na kusafirishwa kwenda Mbeya kwa maziko.

  6. Siri Njombe, Moshi kuongoza kwa usafi miaka 10 mfululizo

    Halmashauri ya Wilaya ya Njombe na Manispaa ya Moshi zimetaja siri ya kuendelea kuwa kinara katika mashindano ya afya na usafi wa mazingira kuwa ni ushirikishwaji wa viongozi na uwajibikaji wa...

  7. PRIME Malisa atinga kortini kupinga Samia kuwa mgombea urais

    Kada huyo amesema yeye ni mwanachama wa CCM tangu Novemba 2020, na ana kadi ya uanachama namba C00004714-016-1, iliyotolewa Novemba 20, 2020.

  8. UVCCM yawataka vijana kuepuka kutumika vibaya na wasaka uongozi

    Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro, umewataka vijana kujiandaa kugombea nafasi za ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu ujao, huku...

  9. Kaya 62 zakosa makazi, 300 zazingirwa na maji Moshi

    Kaya zaidi ya 300 katika Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, zimezingirwa na maji, huku 62 zikiachwa bila makazi kutokana na mafuriko yaliyotokana na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani humo.

  10. PRIME Ajali zaua 14 ndani ya siku nne Kilimanjaro, chanzo chatajwa

    Wakati watu 14 wakifariki dunia huku wengine 117 wakijeruhiwa kwa ajali ndani ya siku nne, mkoani Kilimanjaro, mashuhuda wa ajali hizo wamesema wembamba wa barabara katika maeneo ya milimani...

Previous

Page 4 of 89

Next