Search

674 results for Florah Temba :

  1. Watumishi Moshi wafundwa madhara ya dhuluma

    Wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia misingi ya haki, kutowakandamiza wanaowaongoza

  2. Mazishi mwanafunzi anayedaiwa kufa kwa kipigo yashindikana

    Hata hivyo, licha ya maandalizi kufanyika ikiwemo kuchimbwa kaburi na watu kukusanyika hadi leo jioni, maziko hayo hayakufanyika.

  3. PRIME Serikali inavyokabili upatikanaji gesi kwenye magari

    Unaweza kusema hatua hii itapunguza kiu ya wengi, baada ya Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Petroli Tanzania (TPDC), Mussa Makame kueleza uwepo wa vituo vya gesi ya kwenye magari (CNG) vitano...

  4. Kamati ya Bunge yaitaka Serikali kukiwezesha kiwanda cha vipuri

    Kiwanda cha kutengeneza mashine na kuzalisha vipuri cha Kilimanjaro (KMTC) ni muhimu katika kuzalisha viwanda vingine nchini, hivyo kinahitaji kutazamwa na kuongezewa nguvu

  5. Wanafunzi 15 St Mary Goreti walazwa KCMC wakiugua tumbo

    “Kuhusu watoto kulazwa hospitali hatuwezi kuzungumza lolote, wasilianeni na mganga mkuu wa manispaa wao wataweza kutoa taarifa,” amesema mtawa huyo.

  6. PRIME ‘Housigeli’ afanyiwa ukatili, mwajiri wake mbaroni

    Ni simulizi inayoweza kukutoa machozi ya mtoto Melesiana Nestory (16) anayedai kufanyiwa ukatili na mtu anayedai ni mwajiri, akidai amekuwa akimpiga na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili wake.

  7. VIDEO: Polisi mstaafu aliyejichimbia kaburi ajinunulia jeneza

    Askari mstaafu wa Jeshi la Polisi, Patrick Kimaro maarufu kwa jina la Sabasita ameweka historia nyingine katika maisha yake, baada ya kukamilisha kutengeneza jeneza litakalotumika kumuhifadhi...

  8. Uhaba wa maji unavyowatesa Same

    Baadhi ya wakazi wa Same wamesema wananunua maji ndoo moja kwa Sh300, gharama ambayo ni kubwa na hawawezi kuimudu.

  9. Wananchi Kondeni walia barabara kukosa mitaro ya maji

    Wakazi wa kata ya Mwika Kusini, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia kutokuwepo kwa mitaro ya kupitishia maji katika barabara ya Kilacha – Matala - Msae, hali inayosababisha barabara...

  10. Wasiojulikana wamuua kikatili mgambo maarufu mjini Moshi

    "Marehemu alikuwa katibu wa madereva wa bajaji, alikuwa akifanya kazi za mgambo kata na dereva bajaji, hakuwa na shida na mtu, na jana nilikuwa naye sasa sijui nini kilitokea, tumeumia sana,"...

Previous

Page 4 of 68

Next