UVCCM yawataka vijana kuepuka kutumika vibaya na wasaka uongozi
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro, umewataka vijana kujiandaa kugombea nafasi za ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu ujao, huku...