Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

852 results for Florah Temba :

  1. Usaliti, fitna vyaundiwa mkakati UVCCM

    Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) umewaonya vijana juu ya usaliti, fitna, mgawanyiko katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, ili kujihakikishia ushindi wa kishindo.

  2. Mabadiliko ya mtindo wa maisha yamvuta Dk Biteko kuhamasisha afya bora

    Amesema ulaji unaozingatia mlo kamili unasaidia kujenga mwili na kuulinda na maradhi mbalimbali.

  3. Chama cha Sau Moshi mjini kuchaguana Februari 28

    Moshi. Chama cha Sauti ya Umma (Sau), kimetangaza mchakato wa uchaguzi kwa ajili ya kupata viongozi wa chama hicho ngazi ya Wilaya ya Moshi Mkoa wa Kilimanjaro, huku kikiwataka wananchi na...

  4. TCAA yaonya matumizi mabaya ya 'drones'

    Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imesema kumekuwepo na matumizi mabaya ya ndege zisizo na rubani (drones), hali ambayo inatishia usalama wa anga.

  5. Wazee wapewa mitungi ya gesi kupunguza uharibifu hifadhi Kilimanjaro

    Moshi. Wazee wasiojiweza zaidi ya 60 wanaoishi Kijiji cha Msae Kinyambuo, pembezoni mwa msitu wa Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro (Kinapa), wamepatiwa mitungi ya gesi ili kuweza kutumia nishati safi...

  6. RC aagiza walevi, wacheza ‘pool table’ muda wa kazi kukamatwa

    Mkuu Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amewaagiza wakuu wa wilaya zote mkoani huo kukamata na kuondoka na gololi na fimbo zinazotumika kuchezea 'pool table' muda wa kazi.

  7. Banduka kuzikwa leo Ugweno Kilimanjaro

    Mwili wa Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Nicodemus Banduka (80) ambaye utazikwa leo Jumatano Februari 12, 2025 katika makaburi ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa...

  8. PRIME VIDEO: Aliyempinga Rais Samia afukuzwa CCM, mwenyewe atoa kauli

    Zipo taarifa kuwa baadhi ya makada wa CCM waliokuwa wakijipanga kuwania urais kwenye uchaguzi mkuu wa 2030, hawakufurahia uamuzi huo wakiamini unawaweka kwenye mazingira magumu hapo baadaye.

  9. Aliyepinga Rais Samia kupitishwa mgombea pekee urais afukuzwa CCM

    Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.

  10. Kitendawili cha elimu, malezi ndani ya zama za dijitali

    Maswali yaliyopo ni namna gani wazazi, walezi wanaweza kuushinda mtihani wa elimu na malezi katikati ya mabadiliko makubwa ya sayansi na teknolojia?

Previous

Page 4 of 86

Next