Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

902 results for Janeth Mushi :

  1. PRIME Mapya yaibuka mikutano ya Chadema, CCM

    Vyama hivyo vimeendelea na ziara zao katika mikoa mbalimbali, Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Stephen Wasira anaendelea na ziara zake mkoani Ruvuma wakati Makamu Mwenyekiti wa Chadema – Bara, John...

  2. CCM yazidi kutikisa Kilimanjaro, zamu ya Rombo leo

    Makalla alianza ziara ya siku saba katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Juni 4, 2025, alianzia mkoani Manyara alikofanya mkutano wa hadhara wilayani Babati kisha akaelekea mkoani Arusha.

  3. Chadema, Chaumma waendeleza vijembe, CCM yasimama katikati

    Kwa upande wa Chaumma, kinajibu mapigo dhidi ya Chadema kikiwatuhumu baadhi ya viongozi wake wa juu kwa tabia ya kutweza utu wa wanawake katika majukwaa ya kisiasa, huku kikiwataka watoke...

  4. Makalla atoa neno mjadala wa No reforms, No election mitandaoni

    Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo Jumapili Juni 8,2025 Katibu wa Itikadi,Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla amesema wanaotekeleza kampeni hiyo wanajifurahisha tu.

    New Content Item (1)
  5. Makalla: Hai msirudie makosa, sumu haionjwi

    Makalla ametoa wito huo leo Jumapili Juni 8, 2025, alipowahutubia wananchi wa Bomang’ombe wilayani Hai, akiwa safarini kutoka Arusha kuendelea na ziara yake katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini.

  6. PRIME Alivyoepa kifungo miaka 20 jela kwa kupatikana na nyara ya Serikali

    Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Sumbawanga, imefuta hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela aliyohukumiwa Juma Mlambege baada ya kutiwa hatiani kwa kupaikana na vipande 10 vya meno ya tembo vyenye...

  7. Makalla abadili upepo Kaskazini akisisitiza amani, apangua hoja za Chadema

    Ni mwendo wa bandika bandua, ndivyo unavyoweza kusema kuhusu ziara ya Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, aliye ziarani mikoa ya Kaskazini ambaye...

  8. Biteko aagiza wadau wa utalii kubuni mazao mapya ya utalii

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ameagiza Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na wadau wa utalii nchini, kubuni mazao mapya ya utalii na kutumia teknolojia ya kisasa ili...

  9. Makalla ajitoa ugomvi wa Makonda, Gambo

    Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema hawezi kuingilia ugomvi kati ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda na Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo.

  10. Makalla awasihi Watanzania kuwakataa wanasiasa wachochezi

    Kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani, utakaofanyika Oktoba 2025, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amewataka Watanzania kuwakataa...

Previous

Page 4 of 91

Next