Saba wafariki dunia ajali ya basi Mwanga, 32 wajeruhiwa Watu saba wamefariki dunia papo hapo huku wengine 32 wakijeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Mvungi, walilokuwa wakisafiria kupinduka katika eneo la Kijiji cha Mamba, Kata ya Msangeni, Tarafa ya...
Miili ya wanakwaya sita Same yaagwa, kuzikwa kesho Chome Miili sita ya wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same mkoani Kilimanjaro imeagwa leo...
Sh9.3 bilioni kupunguza tatizo la maji maeneo tambarare Rombo Serikali imetoa zaidi ya Sh9.3 bilioni kwa ajili ya kutekeleza mradi wa maji utakaopunguza tatizo la maji katika vijiji 31, vilivyopo maeneo ya ukanda wa tambarare Wilaya ya Rombo mkoani...
Majeruhi 46 wa ajali Same waruhusiwa, sita kuagwa leo Majeruhi 46 kati ya 75 wa ajali mbili tofauti ikiwemo iliyoua wanakwaya sita wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT) Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare, Wilaya ya Same mkoani...
Mashuhuda wasimulia ajali iliyoua wanakwaya sita Mashuhuda wa ajali iliyoua wana kwanya sita na kusababisha majeruhi 23 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mmeni, Dayosisi ya Pare, Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro,...
Wanakwaya sita wafariki dunia, 75 wajeruhiwa ajali mbili tofauti Same Watu saba wakiwamo wanakwaya sita, wamefariki dunia papo hapo huku wengine 23 wakijeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupoteza mwelekeo na kupinduka katika Milima ya Pare, Wilaya ya...
Moshi kukosa maji kwa saa kadhaa, matengenezo ya bomba yanaendelea Kufuatia hitilafu ya bomba la maji katika Barabara Kuu ya Moshi – Arusha, Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (Muwsa) imesema baadhi ya maeneo ya Mji wa Moshi yatakosa huduma ya maji...
PRIME Hii hapa sababu bei ya nyama kushuka Kutokana na hali hiyo, bei ya nyama katika masoko na mabucha mbalimbali imeshuka kutokana na wingi wa mifugo iliyonunuliwa kwa mkupuo.
PRIME Mvua zazua kizaazaa Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeanza kuleta athari, huku wananchi wanaoishi maeneo hatarishi wakiaswa kuhama.
Profesa Mkenda: Tuendeleze mazuri yaliyoachwa na waasisi wetu Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Shaban Mlewa, amewasihi wananchi wa Rombo kuwaunga mkono viongozi wanaoshirikiana nao kwa karibu na kutatua changamoto zao.