Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

71 results for Denis Sinkonde :

  1. Taharuki makaburi zaidi ya 30 yakivunjwa Mbozi

    Makaburi zaidi ya 30 katika Mtaa wa Majengo, Kata ya Hasanga wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe, yamevunjwa kisha kung’olewa misalaba na urembo wa kwenye malumalu.

  2. Mzee wa miaka 63 auawa Mbozi, anyofolewa viungo vya mwili

    Leo Jumanne Julai 16, 2024, Mwananchi Digital imefika nyumbani kwa marehemu na kuzungumza na mtoto wake, Jose Sambo

  3. Waliofunika nyuso wavamia msiba, wapiga waombelezaji

    Wananchi wa Kitongoji cha Nsenya Kijiji cha Ilembo wilayani Mbozi mkoani Songwe wameingiwa na hofu, wakidai kuvamiwa na kujeruhiwa na kundi la watu bila kueleza sababu za kufanya hivyo.

  4. Nyumbani kwa Naibu Waziri Ujenzi walilia barabara

    Barabara hiyo inayolalamikiwa ina urefu wa kilomita tatu na inatoka Mtula – Bwenda na inatarajiwa kugharimu Sh201 milioni.

  5. Makada wa CCM Ileje mtegoni

    Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Ileje, Mkoani Songwe, kimesema kitawafikisha kwenye vikao vya maadili ya chama hicho makada wanaojipitisha kwa lengo la kutaka nafasi za ubunge na udiwani...

  6. PRIME Mgomo wa wafanyabiashara waacha kilio kila kona

    Saa 53 za mgomo wa wafanyabiashara ulioanza eneo la Kariakoo Dar es Salaam kabla ya kusambaa maeneo kadhaa nchini umeathiri mapato ya kada tofauti katika mnyororo wa biashara.

  7. Mgomo wa wafanyabiashara Tunduma wafunga maduka, Arusha nao ‘wabip’

    Wakati wafanyabiashara wa maduka maeneo ya soko kuu katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilayani Momba, mkoani Songwe wakifunga maduka yao leo, mkoani Arusha wao waliyafunga kwa saa mbili...

  8. Chongolo: Ajenda ya lishe iwe ya kudumu Songwe

    Mabaraza ya madiwani mkoani Songwe yametakiwa kubeba ajenda ya lishe kwenye vikao ili kukabiliana na tatizo la udumavu na utapiamlo kwa watoto chini ya miaka mitano unaoukabili mkoa huo.

  9. Wawili mbaroni kwa kubaka, kumuua mtoto wa miaka miwili

    Kwa mujibu wa jeshi hilo katika kipindi husika linawashikilia watuhumiwa 680 kwa tuhuma ya kujihusisha na matukio ya ukatili wa kijinsia, uvunjaji, wizi, mauaji, utapeli.

  10. Polisi watatu kizimbani wakidaiwa kupokea rushwa ya Sh55 milioni

    Kabla ya kufikishwa mahakamani na Takukuru, walifukuzwa kazi ndani ya Jeshi la Polisi baada ya kushtaakiwa kijeshi kwa tuhuma hizo.

Previous

Page 5 of 8

Next