Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

929 results for Hawa Mathias :

  1. RPC Mbeya aonya uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu, awapa neno vijana

    Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limewataka vijana kutumia michezo kama sehemu ya kuhamasisha amani na utulivu katika kuelekea uchaguzi Mkuu Oktoba 2025, huku likionya wavunjifu wa...

  2. Chadema waandamana kwa RPC, wamsaka Mdude porini

    Ameongeza kuwa lengo la maandamano hayo ni kufuatilia hatima ya kupatikana kwa kada huyo, pamoja na kupata uhakika wa usalama wao binafsi katika harakati wanazoendelea nazo.

  3. PRIME Kupotea kwa Mdude bado kitendawili, mkewe aiangukia Serikali

    Mke wa Nyagali, Sije Mbugi (31), amesema anaishi kwa hofu kubwa tangu mumewe alipotoweka, hivyo anaiomba Serikali na vyombo vya usalama kuhakikisha anapatikana akiwa salama.

  4. PRIME Misukosuko anayopitia Mdude Nyagali

    Kwa mara kadhaa Mdude amejikuta mikononi mwa polisi akituhumiwa kwa uchochezi, pia amewahi kufikishwa mahakamani.

  5. Fursa ya matibabu kwa wenye saratani, moyo, afya ya akili Mbeya

    Amesema ujio wa madaktari bingwa bobezi ni jitihada za Serikali kuwasogezea huduma wananchi wenye changamoto ambao walikuwa wakisafiri umbali mrefu kufuata matibabu.

  6. Polisi Mbeya yakanusha kuhusika tukio la kushambuliwa Mdude

    Kwa mujibu wa Jeshi hilo, taarifa hizo siyo za kweli na zinalenga kupotosha umma kuhusu uhalisia wa tukio hilo ambalo bado linaendelea kuchunguzwa.

  7. PRIME Sintofahamu Mdude kukamatwa, polisi yasema wanafuatilia

    Kwa mujibu wa Mbeyale, baada ya kufika nyumbani kwa Mdude, majirani walidai kuwa watu waliovunja mlango, kumshambulia kwa kipigo na baadaye kuondoka naye, walijitambulisha kuwa ni askari wa Jeshi...

  8. Wafanyakazi wafurahia nyongeza ya mshahara

    Wafanyakazi wa umma nchini wamepokea kwa furaha nyongeza ya mshahara wa kima cha chini kutoka Sh370,000 hadi Sh500,000, wakitaja kuwa ni hatua chanya kuelekea kufikia viwango bora zaidi vya...

  9. Madiwani waonywa kuchafuana kuelekea uchaguzi mkuu

    Ikiwa imesalia miezi kadhaa kuelekea uchaguzi Mkuu Oktoba 2025, madiwani jijini Mbeya wametahadharishwa kuepuka kuchafuana na badala yake washikamane na kushirikiana kutatua changamoto katika...

  10. Askofu Nkwande ataja kiini ongezeko la uhalifu, maadili mabovu kwa vijana

    Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza, Renatus Nkwande amesema ukosefu wa ajira kwa vijana ni moja ya sababu za kuongezeka kwa matukio ya uhalifu na mmomonyoko wa maadili nchini.

Previous

Page 5 of 93

Next