Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

696 results for Rehema Matowo :

  1. Chato wamuomba Rais Samia kusaidia ujenzi wa msikiti ulioanzishwa na Magufuli

    Waislamuwilayani Chato Mkoa wa Geita wameiomba Serikali na wadau mbalimbali kusaidia kukamilisha ujenzi wa Msikiti wa Al-huda unaojengwa katika Kata ya Muungano wilayani humo.

  2. PRIME Miaka 4 ya Magufuli: Askofu Niwemugizi, Rais Samia, familia watoa kauli

    Viongozi mbalimbali wa Serikali, siasa, na kiroho wamezungumzia maisha ya aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, hayati John Joseph Magufuli, akiwemo Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge-Ngara...

  3. Mama Janeth, viongozi wa Serikali wajumuika ibada ya kumwombea Magufuli

    Mamia ya wananchi wa ndani na nje ya Wilaya ya Chato mkoani Geita wameungana na familia ya aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli katika misa takatifu ya kumuombea.

  4. Polisi Geita yachunguza kifo cha mchimbaji mdogo

    Jeshi la Polisi mkoani Geita linachunguza kifo cha mchimbaji mdogo wa madini, Emmanuel Sitta (25), mkazi wa Nyakabale, anayedaiwa kuingia kinyemela kwenye mgodi wa dhahabu wa Geita na kupatikana...

  5. Mradi wa jengo la mama na mtoto Geita wasuasua

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi imeitaka Wizara ya Afya kupeleka fedha za mradi wa jengo la mama na mtoto, njia za watembea kwa miguu na mfumo wa maji taka katika Hospitali...

  6. Mauaji ya wanawake yapungua kwa asilimia 81 Geita

    Geita. Mauaji ya wanawake yanayotokana na matukio ya ukatili wa kijinsia mkoani Geita yamepungua kutoka vifo 37 mwaka 2023 hadi saba mwaka 2024 (sawa na asilimia 81). Kamanda wa Polisi Mkoa wa...

  7. Kijana atoweka kwa siku 10, mama yake apaza sauti

    Abrahaman Habiye, mkazi wa Mtaa wa Uwanja, Kata ya Nyankumbu mjini Geita anadaiwa kutoweka tangu Machi Mosi, 2025 alipochukuliwa na watu wasiojulikana.

  8. CSR yaleta mvutano RC awatoa nje ya kikao watumishi GGML, nao wajibu

    Hali imekuwa mbaya zaidi baada ya mwanasheria wa GGML, David Nzaligo kudai mpango huo ulichelewa kupitishwa na halmashauri hivyo fedha za 2024 hazipo,kitendo kilichomkera Mkuu wa Mkoa na...

  9. Mbunge wa Busanda alia ukubwa wa Jimbo aomba ligawanywe

    Mbunge wa Busanda Tumaini Magesa amekiomba kikao cha Kamati cha Ushauri wa Mkoa (RCC) kuziagiza mamlaka za chini kuharakisha mchakato w amaombi wa kugawa jimbo la Busanda ili ywe majimbo mawili...

  10. Wanafunzi wahimizwa kutoa taarifa matukio ya ukatili

    Mtandao wa Polisi Wanawake Mkoa wa Geita umewataka wanafunzi wa shule za msingi na sekondari mkoani humo kuvunja ukimya, na kutoa taarifa mapema pindi wanapofanyiwa au kuona wenzao wakifanyiwa...

Previous

Page 5 of 70

Next