Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1938 results for Tatu Mohamed :

  1. Wagombea 18 kuchuana urais CWT, 19 umakamu

    Kuwapo kwa idadi kubwa ya wagombea kumeelezwa na aliyekuwa Rais wa CWT, Gratian Mukoba kwamba ni ishara ya mvuto wa chama kwa kuwa hakuna mtu atakayekubali kuongoza kitu kisichokuwa na maana.

  2. Hamad Rashid ajitosa urais Zanzibar, kuchuana na Mwinyi, Othman

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa Alliance for Democratic Change (ADC), Hamad Rashid Mohamed amechukua fomu kuwania urais Zanzibar, akieleza vipaumbele vyake ni kujikita kwenye kilimo, elimu, afya...

  3. Dakika 20 za Janabi kunadi sera akigombea WHO Afrika

    Mwakilishi wa Tanzania katika nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Profesa Mohamed Janabi ametumia dakika 20 kunadi sera zake akijikita kwenye maeneo makuu...

  4. Profesa Janabi, wenzake kuchuana WHO kesho

    Tayari wawakilishi kutoka mataifa mbalimbali ya barani Afrika, wakiwemo mawaziri wa afya ambao watapiga kura, tayari wamewasili kwa ajili ya mkutano huo.

  5. Makundi ya marafiki Simba yako hivi

    Katika siku tatu ambazo nimesafiri na Simba kuja hapa Morocco nimebaini baadhi ya wachezaji ambao wana urafiki na ukaribu mno na mara kwa mara ni rahisi kuwaona wakiwa pamoja.

  6. Vibaka tishio Arusha, wadaiwa kumuua dereva wa lori akitafuta gesti

    Matukio hayo yanajumuisha mauaji, ubakaji, pamoja na ukwepaji wa majukumu ya malezi ya watoto.

  7. Pamba yaishusha Kagera, Yanga yaiadhibu Namungo

    Kitendo cha Pamba ambayo ilikuwa kwenye nafasi mbaya kupata ushindi huo kimeifanya timu hiyo kusogea hadi nafasi ya 11 ikiwa na pointi 30 kwenye msimamo, huku Kagera ikibaki nafasi ya 14 na...

  8. Miujiza tu kuiokoa Kagera Sugar Ligi Kuu

    Baada ya kupoteza mechi ya nyumbani kwa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa FC jana, ni miujiza tu inayoweza kuifanya Kagera Sugar ibakie katika Ligi Kuu Tanzania Bara.

  9. PRIME Wenza waliohukumiwa miaka 20 jela waibwaga Serikali, waachiwa huru

    Mahakama ya Rufani imetulipia mbali maombi ya marejeo yaliyowasilishwa na DPP, ili Mahakama hiyo irejee uamuzi wake uliowaachia huru wanandoa hao, baada ya kutokea dosari za kisheria wakati wa...

  10. TASNIA IMEPOTEZA: Sauti ya Charles Hilary ilikuwa kama dhahabu, Rais Samia amlilia

    Wakati aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zanzibar, Charles Hilary akifariki dunia, wadau mbalimbali wa sekta ya habari waliowahi kufanya kazi naye wamesema kifo chake ni pigo...

Previous

Page 5 of 194

Next