Hofu ya wanyama wakali yasababisha wazazi wa Same kujenga shule yao
Wakazi wa Kitongoji cha Igoma, Kata ya Maore, Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, wamelazimika kujenga shule yao ili kuwalinda watoto wao wanaotembea umbali mrefu kufuata shule dhidi ya hatari ya...