Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

93 results for Nkwazi Mhango, Canada :

  1. FYATU MFYATUZI: Hongereni mafyatu kwa kumpenda Mama

    ‘Mwanafalsafa’ maarufu wa Uganda, alhaj, Doktari, field Marshall, profedheha Idi Amin Kaidada Oumee aliyepata elimu yake mtaani, aliwahi kusema kuwa lazima watawaliwa wawapende watawala bila...

  2. Tufikirie kununua majenereta kuendeshea treni ya SgR!

    Baada ya kuwafyatua kwa SgR kufanya majaribio, nilionya kuwa safari zingeanza pindi mwana wa Adam­­­ yule fyatu wa Kiyahudi anayeabudiwa na wengi duniani hadi wenzake wanasema kwa nini...

  3. Ndoa yaweza kuwa pepo au jehanamu

    Ndoa, kama taasisi yoyote ina pande nyingi, kubwa zikiwa mbili. Inaweza kuwa na mafanikio au maanguko. Ndoa ikifanikiwa hugeuka pepo. Ikishindwa haina tofauti na jehanamu, japo hakuna aliyewahi...

  4. FYATU MFYATUZI: Ukweli nchungu kuhusu uchaguzi wa mwaka 2025

    Nikiwa kwa akina Nshomile, wapo wachionijua wala lengo langu. Nilipochema ukweli walidhani namwaga ntama kwenye kuku wengi baada ya kuchoshwa na dhuluma, wanaona kama nilijifanya nshomile.

  5. Ndoa yoyote inahitaji maandalizi kisaikolojia

    Kama ilivyo kwenye uanachama wa chama au taasisi yoyote, anayefanya hivyo lazima, kwanza ajielimishe aweze kujiunga na chama au taasisi inayomfaa kutokana na uchaguzi, malengo na matarajio yake.

  6. PRIME KONA YA FYATU MFYATUZI: Waraka wangu rasmi kwa Gen Zii wa kaya hii

    Nimefuatilia ufyatu wa wenzenu wanaoitwa Gen Zs kwa jirani kulikoungua jembe ukabaki mpini. Niweke wazi. Nami ni Gen Z wa juzi. Pili, ninao maGen Z kayani kwangu. Tatu, nimetokea kupenda kurejea...

  7. Mwenye mapenzi sio kipofu, anaona

    Kuna imani au usemi usemao, mwenye mapenzi haoni. Je, kweli mwenye mapenzi haoni hata kama macho anayo? Je, ukweli ni upi; haoni au anaona tena sana? Ingawa “mwenye mapenzi haoni” ina tafsiri...

  8. PRIME Watufilisio wamefilisi, tumefilisika wamefilisika

    Yametukuta mafyatu. Juzi katika kijiwe chetu cha uongozi si tukapendekeza fyatu mmoja aliyewahi kupatikana tuhuma za kuteka na kuua mafyatu wenzake. Jamaa huyu chawa na changu kisiasa...

  9. PRIME FYATU MFYATUZI: Mnapambana na machangu wapi?

    Kama mwanasheria na msomi, najua madhara ya kujadili jambo ambalo ni sub judice, yaani lililoko mahakamani. Hivyo, nitaongelea kasheshe la baadhi ya mafyatu wanene kunyaka, kudhalilisha na...

  10. Yaani mkimbinafsisha Bi Mkubwa namfyutua mtu

    Mtukufu Dk Rahis, msikivu, mwenye maono, ndoto, uthubutu, ukimya, nk, naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu, rahis, du! A’udhu billahi min ash-shaytaan-ir-rajeem.

Previous

Page 6 of 10

Next