Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1066 results for Peter Elias :

  1. PRIME Takukuru yajitosa tuhuma za rushwa wagombea CCM

    Siku moja baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi, kueleza kuhusu mbinu mpya za rushwa zinazotumiwa na baadhi ya makada wa chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu...

  2. PRIME Siri Rais Samia kuendelea kung’ara majukwaa ya kimataifa

    Miaka minne ya Rais Samia Suluhu Hassan madarakani imekuwa na ushawishi mkubwa katika jumuiya ya kimataifa kutokana na kuaminiwa na kupewa majukumu kwenye jumuiya za kikanda na ulimwenguni kwa...

  3. PRIME Kazi iliyo mbele ya mwenyekiti mpya wa AUC

    Hata hivyo, Odinga alijiondoa katika kinyang’anyiro hicho katika awamu ya sita baada ya kuzoa kura 22 dhidi ya 26 za Youssouf.

  4. PRIME Chadema yaja na vuguvugu la mabadiliko

    Vuguvugu hilo litahusisha mikutano ya hadhara nchi nzima na kushirikisha wadau tofauti wakiwamo viongozi wa dini, jumuiya ya kimataifa, vyama vya siasa, asasi za kiraia na wananchi wote katika...

  5. PRIME ACT Wazalendo yabeba jahazi muungano wa vyama, vikwazo vyatajwa

    Amesema hatua ya pili ni kuanzisha vuguvugu kubwa la pamoja la umma kupitia mikutano ya hadhara na maandamano.

  6. PRIME Ukata unavyoliandama Bunge la Afrika Mashariki,Spika alia

    Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyotolewa na Ajak, uamuzi huo umefikiwa baada ya kikao cha Kamisheni ya Eala na viongozi wa kamati kilichofanyika Februari 6, 2025.

  7. Wakuu wa nchi EAC, SADC waazimia mapigano yasitishwe DRC

    Wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc) wamepitisha azimio la pamoja la kutaka mapigano yasitishwe ndani ya Jamhuri ya...

  8. Viongozi EAC, SADC walivyozungumzia kutatua mgogoro DRC

    Viongozi wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wamezitaka pande zote zinazohusika katika mgogoro unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya...

  9. Viongozi kampuni za AKDN waahidi kuendeleza maono ya Mtukufu Aga Khan

    Viongozi wa Kampuni zilizo chini ya Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN) wameapa kuendeleza maono ya Mtukufu Aga Khan IV katika taasisi wanazoziongoza ili kusaidia jamii na kuchochea maendeleo.

  10. Wakurugenzi wastaafu MCL wanavyomkumbuka Mtukufu Aga Khan

    Watendaji wakuu wastaafu wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) wamemwelezea aliyekuwa kiongozi mkuu wa madhehebu ya Ismailia duniani, Mtukufu Aga Khan kama kiongozi aliyetumia...

Previous

Page 6 of 107

Next