Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

233 results for Sanjito Msafiri :

  1. Upatikanaji maji Mwanza bado changamoto

    Takwimu za Sensa ya Majengo ya Mwaka 2022 zinaonyesha asilimia 24.9 ya majengo milioni 13.9 (13,907,951) ya Tanzania Bara yana huduma ya maji, huku hali ikiwa tofauti kwa majengo milioni 10.

  2. Mufti atoa rai ya kuheshimiana, Kunenge akemea siasa kwenye nyumba za ibada

    Mufti na Shehe Mkuu wa Tanzania, Abubakari Zuberi amesisitiza umuhimu wa wananchi kuheshimiana kama njia ya kudumisha amani nchini.

  3. Mzazi asimulia alivyomwokoa mwanawe mwenye ualbino dhidi ya ukatili

    Uvumi na mfululizo wa vitendo vya ukatili dhidi ya watu wenye ualbino, umeisababishia familia ya mtoto, Nurudin Bakari mwenye hali hiyo, kufunga safari kutoka Mkoa wa Mwanza hadi Pwani, kwa ajili...

  4. Osha yatahadharisha kuibuka magonjwa ya misuli, mgongo, ajali kazini zikipungua

    Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha), umesema hivi sasa matukio ya ajali kazini yamepungua na badala yake yameibuka magonjwa kazi mahala pa kazi.

  5. Aliyedaiwa kutekwa Kibaha, akutwa amefariki dunia kichakani

    Baada ya kupotea kwa siku nne akidaiwa ametekwa na vijana watatu, Ally Pweku (22), Mkazi wa Mbwate, mkoani Pwani, amekutwa amefariki dunia vichakani.

  6. Mmiliki mabasi ya Sauli afariki ajalini Mlandizi

    Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Sauli, Solomon Mwalabhila amefariki dunia kwa ajali ya gari iliyotokea Mlandizi mkoani Pwani.

  7. Wajawazito wenye dharura kupata usafiri bila malipo

    Vifo vya wanawake vinavyotokana na changamoto za uzazi vimepungua kutoka 37 mwaka 2023 hadi kufikia 12 mwaka 2024 mkoani Pwani.

  8. Magoti aapishwa DC Kisarawe, aahidi ushirikiano

    Magoti amekula kiapo mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge huku watumishi wengine wakishuhudia tukio la kuapishwa kwake.

  9. Serikali kuwasomesha wahudumu wa afya ngazi ya jamii

    Serikali imekuja na mpango maalumu wa kuwanoa wahudumu wa afya ngazi ya jamii, lengo wawe na ujuzi utakaowawezesha kutekeleza majukumu yao kwa mfumo mmoja tofauti na ilivyo sasa.

  10. Wakosa makazi nyumba zao zikibomolewa Kibaha

    Zaidi ya wananchi 100 katika Kata ya Pangani Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani ,wamekosa makazi baada ya nyumba zao kubomolewa na tingatinga leo Mei 31, 2024.

Previous

Page 6 of 24

Next