Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

886 results for Florah Temba :

  1. CCM yataka haki ugawaji maeneo Mbuyuni, yaonya utozwaji wa fedha

    Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, imeiagiza serikali mkoani humo kuhakikisha haki inatendeka wakati wa ugawaji wa maeneo ya biashara katika soko la mbuyuni...

  2. Aliyebeba kibuyu tukio la Muungano azikwa, Shoo ataka umakini kwenye elimu

    Wakati Sifael Shuma (92)aliyekuwa mmoja wa vijana wanne walioshiriki tukio la kuchanganya udongo, Aprili 26,1965,akizikwa nyumbani kwake Machame, Wilaya ya Hai, Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya...

  3. Mamia wafurika maziko aliyeshiriki tukio la kuchanganya udongo

    Tukio hilo lilifanyika ikiwa ni mwaka mmoja baada ya kuasisiwa kwa muungano Aprili 26, 1964.

  4. Madereva Moshi walia na mashimo eneo la reli

    Watumiaji wa barabara ya Tembo, Manispaa ya Moshi, wamelalamikia uwepo wa mashimo katika barabara hiyo eneo ambalo kuna kipande cha njia ya reli kinapita kuelekea katika matanki ya mafuta ya...

  5. Usaliti, fitna vyaundiwa mkakati UVCCM

    Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) umewaonya vijana juu ya usaliti, fitna, mgawanyiko katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, ili kujihakikishia ushindi wa kishindo.

  6. Mabadiliko ya mtindo wa maisha yamvuta Dk Biteko kuhamasisha afya bora

    Amesema ulaji unaozingatia mlo kamili unasaidia kujenga mwili na kuulinda na maradhi mbalimbali.

  7. Chama cha Sau Moshi mjini kuchaguana Februari 28

    Moshi. Chama cha Sauti ya Umma (Sau), kimetangaza mchakato wa uchaguzi kwa ajili ya kupata viongozi wa chama hicho ngazi ya Wilaya ya Moshi Mkoa wa Kilimanjaro, huku kikiwataka wananchi na...

  8. TCAA yaonya matumizi mabaya ya 'drones'

    Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imesema kumekuwepo na matumizi mabaya ya ndege zisizo na rubani (drones), hali ambayo inatishia usalama wa anga.

  9. Wazee wapewa mitungi ya gesi kupunguza uharibifu hifadhi Kilimanjaro

    Moshi. Wazee wasiojiweza zaidi ya 60 wanaoishi Kijiji cha Msae Kinyambuo, pembezoni mwa msitu wa Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro (Kinapa), wamepatiwa mitungi ya gesi ili kuweza kutumia nishati safi...

  10. RC aagiza walevi, wacheza ‘pool table’ muda wa kazi kukamatwa

    Mkuu Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amewaagiza wakuu wa wilaya zote mkoani huo kukamata na kuondoka na gololi na fimbo zinazotumika kuchezea 'pool table' muda wa kazi.

Previous

Page 7 of 89

Next