Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1132 results for Hadija Jumanne :

  1. Wanaodaiwa kutapeli wastaafu, waendelea kusota rumande

    Serikali imedai upelelezi wa kesi ya kutumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la mtu mwingine na kutapeli wastaafu, inayowakabili wakazi wanne wa Kagera na Mwanza, bado haujakamilika.

  2. Mahakama yatoa hati kumkamata Batweli aliyeruka dhamana

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisitu imetoa hati ya kumkamata mshtakiwa Ibrahim Batweli (21) baada ya kushindwa kufika mahakamani, bila kutoa taarifa.

  3. Mtoto wa Askofu Sepeku atoa ushahidi kwa saa tano mali ya baba yake iliyoporwa

    Bernardo katika kesi hiyo, anadai alipwe Sh3.72 bilioni ambayo ni fidia ya hasara ya kifedha iliyopatikana kutokana na uvamizi wa mali ya ardhi katika kiwanja hicho.

  4. Jela miaka mwili kwa kujifanya ofisa wa Takukuru

    Mahakama ya Hakimu Kisutu, imemhukumu mfanyabiashara Edson Beyanga (37), kifungo cha miaka minne jela baada ya kupatikana na hatia ya kughushi fomu ya kuondolewa kesi ya jinai iliyotolewa na...

  5. Wanandoa wanaodaiwa kukutwa na 'unga' waanza majadiliano na  DPP

    Dar es Salaam. Serikali imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa imeanza vikao vya majadiliano na wanandoa wanaokabiliwa na kesi ya kusafirisha gramu 41.49 za heroni kwa ajili ya...

  6. Serikali bado yachunguza kesi ya mauaji inayowakabili mwanafamilia

    Upelelezi wa kesi ya mauaji inayomkabili Fred Chaula (56) na wenzake wawili bado haujakamilika, mahakama imeelezwa.

  7. Bosi wa Jatu akumbushia tena ombi lake, mahakama yamjibu

    Mshtakiwa Peter Gasaya(33) ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, anayekabiliwa na kesi uhujumu uchumi, ameiomba mahakama kesi yake isikilizwe kwa njia ya video mpaka hapo upelelezi wa...

  8. Siku 141 za Dk Magunguruwe gerezani, upelelezi waendelea

    Mkurugenzi wa kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40), maarufu Dk Manguruwe, anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, anaendelea kusota rumande kwa siku 141 sasa kutokana na...

  9. Watatu waongezwa kesi ya jengo lililoporomoka Kariakoo

    Hata hivyo, leo washtakiwa hao wapya, wamesomewa mashtaka yao na Wakili wa Serikali, Roida Mwakambele mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Geofrey Mhini.

  10. Hakimu akwamisha kesi ya 'Bwana harusi' anayetuhumiwa kuiba gari

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga Aprili 14, kusikiliza hoja za awali (PH) katika kesi ya mfanyabiashara Vicent Masawe (36)' 'Bwana harusi', baada ya upelelezi wake kukamilika.

Previous

Page 7 of 114

Next