Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1263 results for Herieth Makwetta :

  1. PRIME Kupandikiza mimba Muhimbili Sh14 milioni, wadau wakosoa gharama

    Wakati Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ikitimiza miezi minane tangu kuanzishwa rasmi wa kitengo cha upandikizaji mimba Vitro Fertilization (IVF), gharama za huduma hiyo zimetajwa ni Sh14...

  2. PRIME Wanasayansi wataja mbinu kutokomeza malaria Tanzania

    Kwa wastani, kiwango cha maambukizi ya malaria nchini Tanzania ni asilimia 8.1, lakini kiwango hicho hutofautiana sana kati ya eneo moja na jingine, kikianzia chini ya asilimia moja hadi zaidi ya...

  3. PRIME Wanawake hawa hupata mimba wakati wa hedhi pekee

    Kama ulidhani siku za kubeba ujauzito kwa mwanamke ni kuanzia siku ya 12 hadi ya 15, huku ukiilenga siku ya 14 kwamba ni lazima atapata ujauzito, basi umekosea.

  4. PRIME CAG abaini uhifadhi usio salama dawa za asili

    Picha zilizoambatanishwa na CAG zilionyesha dawa zimewekwa sakafuni kwenye mazingira yenye unyevu mwingi.

  5. CAG: Sh2.58 bilioni za mikopo ya vijana hatarini kutorejeshwa

    Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amebaini madeni ya mikopo yanayokabiliwa na hatari ya kutorejeshwa ya Sh2.58 bilioni katika Mfuko wa Maendeleo ya Vijana.

  6. PRIME Kikwete anavyopasua anga kumnadi Janabi

    Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ameonekana akizunguka katika nchi kadhaa za Afrika akimnadi Profesa Mohammed Janabi, anayewania nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO),...

  7. Faida sita Tanzania kushika kijiti WHO hizi hapa

    Miongoni mwa maswali yanayozunguka vichwa vya wengi ni kuhusu namna ambavyo Tanzania itanufaika, ikiwa Mtanzania atapata nafasi ya kuwa Mkurugenzi wa kanda ya Afrika, Shirika la Afya Duniani (WHO).

  8. CAG abaini ucheleweshwaji fidia waathirika wa miradi

    Fidia kwa watu walioathiriwa na miradi (PAPs) zenye thamani ya Sh27.81 bilioni katika miradi mitatu ya miundombinu ya barabara na mmoja wa maji haikulipwa, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...

  9. PRIME Ukiziona ishara hizi kapime, ni dalili za magonjwa ya ngono

    Mtaalamu wa Afya ya Jamii, Dk Ali Mzige anasema kuna dalili kadhaa zinazoashiria mtu amepata au anaishi na maambukizi ya ugonjwa mmojawapo wa ngono.

  10. PRIME Mambo 10 ya kushangaza kuhusu mvua

    Ukubwa wa matone ya mvua hutofautiana kulingana na mambo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na unyevunyevu, halijoto na kasi ya upepo wa juu.

Previous

Page 7 of 127

Next