Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1156 results for Jesse Mikofu :

  1. SMZ kuanzisha chuo cha usimamizi wa fedha

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imepanga kuanzisha Chuo cha Usimamizi wa Fedha Zanzibar (ZIFA) ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuimarisha elimu ya juu na usimamizi wa rasilimali fedha nchini.

  2. CSR kutungiwa sera kumlazimisha mwekezaji kuchangia badala ya hiari

    Mbali na sera pia Serikali ipo mbioni kukamilisha kanuni zitakazoainisha asilimia ya kiwango hicho kwenye miradi hiyo inayozunguka jamii husika.

  3. PRIME Kilio cha wanawake wasakao uongozi Zanzibar, ZEC yajibu

    Sababu moja kubwa inayotajwa mara kwa mara ni hali duni ya uchumi. Mchakato wa uchaguzi kuanzia kuchukua fomu, kufanya kampeni hadi kufanikisha ushindi, inahitaji fedha nyingi.

  4. Kamati yaitaka Wizara ya Maji kuongeza usimamizi wa miradi

    Kwa mujibu wa Kaduara, kati ya kiasi hicho, Sh2.438 bilioni ni kwa matumizi mengineyo, Sh2.920 bilioni kwa mishahara, Sh10.110 bilioni ruzuku ya mishahara na Sh205.356 bilioni kwa miradi ya...

  5. ZECO yazidai Sh73 bilioni taasisi za Serikali, binafsi, wawakilishi waingilia kati

    Kati ya deni hilo, Mamlaka ya Maji Zanzibar (Zawa), taasisi ya Serikali, inadaiwa Sh52.684 bilioni

  6. Wanne wateuliwa mabalozi wa utalii Zanzibar, yumo raia wa Ujerumani

    Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale imewateua mabalozi wanne wa utalii, wakiwemo raia wa ndani na wa kigeni zikiwa ni juhudi za kukuza na kutangaza utalii wa Zanzibar.

  7. Wawakilishi walia sheria ya uvuvi kuwanyanyasa wavuvi

    Wamesema sheria hiyo ya mwaka 2010 imepitwa na wakati kuna vitu ambavyo vinapaswa kuondokewa kwani inarejesha nyuma jitihada za wavuvi

  8. Maeneo ya kipaumbele Wizara ya Uchumi wa Buluu Zanzibar

    Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi imepanga kutekeleza vipaumbele 12 katika mwaka wa fedha 2025/26 ambavyo vitajikita katika mbinu, nyenzo, mitaji na utafutaji wa masoko kwa wajasiriamali na...

  9. Othman: Haijalishi tumeumizwa kiasi gani, tutaingia kwenye uchaguzi

    Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud amesema haijalishi wamepitia magumu kwa kiasi gani kipindi kilichopita, lakini kamwe hawatasusia uchaguzi licha ya kuwapo dalili za...

  10. Misitu inavyopukutishwa Zanzibar

    Ripoti hiyo inaonyesha ukataji na upoteaji wa misitu Zanzibar upo kwa wastani wa asilimia 1.2 ya kiwango cha misitu kilichopo, sawa na hekta 1,277 kwa mwaka.

Previous

Page 7 of 116

Next