Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

412 results for Peter Akaro :

  1. Malaika na Hip Hop ya Fid Q ni samaki na maji

    Ni wazi Malaika ni miongoni mwa waimbaji wa kike waliojitokeza kwenye Bongofleva na kufanya vizuri kwa kiasi fulani, ana heshima na historia yake aliyojitengenezea kwenye muziki huo ingawa ni kwa...

  2. Rekodi zipo hivi Abigail Chams akiwania BET 2025

    HATIMAYE Tanzania imepata mwakilishi tena katika tuzo za BET baada ya kukosa kwa misimu mitatu mfululizo, Abigail Chams ndiye ametajwa kuwania tuzo hizo kubwa za muziki duniani kwa mwaka huu...

  3. MUSIC FACT: Chanzo cha bifu la Daz Nundaz na Solid Ground Family

    KWA wakati wake Daz Baba alitengeneza nyimbo kubwa zilizofanya vizuri akiwa na kundi la Daz Nundaz na hata aliposimama pekee bado alizidi kuuwasha moto na hadi sasa ni miongoni mwa walioleta...

  4. Tuhuma za ubakaji zilivyomkosesha Jay Z mamilioni ya dola

    Licha ya kesi ya ubakaji iliyokuwa inamkabili Jay Z kutupiliwa mbali tangu Februari, bado rapa huyo anadai haki yake ambapo wiki hii mawakili wake wamewasilisha kesi huko Alabama wakidai mteja...

  5. PRIME Mambo matatu ya Kajala kwa Harmonize

    Hilo limemfanya Kajala kuwa na rekodi tatu za kipekee kwa Harmonize ukilinganisha na warembo wengine ambao wamewahi kuwa na mwimbaji huyo anayefanya vizuri na kibao chake kipya, Furaha (2025).

  6. Rama Dee, Rich Mavoko, Alikiba kwenye ndoto moja 

    Ni wazi kuwa sauti yake, melodi, uandishi na swaggs zake katika uimbaji ni kati ya mambo yanayofanya Rama Dee kuwepo katika orodha ya waimbaji wakali wa RnB Bongo kwa muda wote

  7. Kwa hili, bila Wizkid hakuna Diamiond

    Ni miaka mitano imepita tangu Diamond Platnumz kutoa wimbo wake, Jeje (2020) unaoendelea kufanya vizuri na kumpa heshima ya kipekee staa huyo wa Bongofleva na mwanzilishi wa WCB Wasafi iliyowatoa...

  8. Mary Blige aburuzwa mahakamani

    Malkia wa Hip Hop Soul na RnB Marekani, Mary J. Blige (54) ameshtakiwa na aliyekuwa mwanamitindo wake, Misa Hylton kwa madai ya kumkosesha mamilioni ya fedha kufuatia kuingilia na kutibua mipango...

  9. Wasanii Bongo wanaigana hadi inaboa

    HIVI karibuni nilikuwa nikisikiliza nyimbo mpya za Nandy, No Stress (2025) na Harmonize, Furaha (2025), nikagundua tatizo la wasanii wengi Bongo kuigana katika utunzi wa nyimbo na namna...

  10. Jay Z, Beyonce hiyo miaka 17 kama jana

    Imetimia miaka 17 tangu Jay Z, 55, na Beyonce Knowles, 43, kufunga ndoa Aprili 4, 2008, hadi sasa harusi yao ni moja ya mambo yanayojadiliwa sana kutoka katika familia hiyo ya The Carters...

    J ZEE Pict
Previous

Page 7 of 42

Next